hope 2
Senior Member
- Apr 28, 2010
- 154
- 7
Mimi ni mwanamke niliyeolewa na nina mwaka mmoja kwenye ndoa. Katika siku zote ninazoishi na Mume wangu ni siku chache sana nafurahia tendo la ndoa maana mara zote napata maumivu makali wakati wa tendo.
Sielewi kwamba hua tunakosea style au vp? maana naweza kukosa amani kabisa nikiwaza kukutana na Mume wangu, na pia sioni kama anashindwa kuniandaa vizuri maana mara zote nakubali maandalizi tunayofanya kabla ya tendo.
Naogopa kumkatalia mume wangu penzi maana anaweza toka nje halafu ikawa matatizo
Jamani kina mama, dada na wote, hebu niambie kama hii ni kawaida na nifanyeje ili kuondokana na hii hali.
Sielewi kwamba hua tunakosea style au vp? maana naweza kukosa amani kabisa nikiwaza kukutana na Mume wangu, na pia sioni kama anashindwa kuniandaa vizuri maana mara zote nakubali maandalizi tunayofanya kabla ya tendo.
Naogopa kumkatalia mume wangu penzi maana anaweza toka nje halafu ikawa matatizo
Jamani kina mama, dada na wote, hebu niambie kama hii ni kawaida na nifanyeje ili kuondokana na hii hali.