Tafadhali anayefaham salun nzuri ya kike moshi mjini naomba aniambie iko maeneo gani na jina lake. Wanaojua kusuka na kubondi. Tunakuja harusini huko na sisi ni wageni pande hizo.
Njoo Dar kuna saloon zinanyoa mpaka nywele za huko kwenye K. Pesa yako tu na uvumilivu wa mhemuko ndiyo vinatakiwa