Ni juma moja limepita sasa toka wananchi wa Arumeru Mashariki wakatae siasa za uchifu, siasa za mnada na kuonyesha chuki na hasira zao kwa kupandikiziwa chaguo la mtu kwa manufaa yake binafsi.
Swali langu ni je, yule muathirika mkuu wa kukataa huku kwa wana-Arumeru ambaye kimsinginalikuwa anamsimika bintinyake kwenye kiti hicho ana hali gani na yuko wapi? Mwenye taarifa zake atujuze tafadhali.
Swali langu ni je, yule muathirika mkuu wa kukataa huku kwa wana-Arumeru ambaye kimsinginalikuwa anamsimika bintinyake kwenye kiti hicho ana hali gani na yuko wapi? Mwenye taarifa zake atujuze tafadhali.