Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
mimi liko akilini.nikiitwa naitika..
Jina lako haliwezi kuwa Akilini ukitwa unaitikia kivipi? kama kweli jina lako lipo akilini?Jina lako lipo kwenye masikio yako mawili unapoitwa ukaitikia hapo ndipo penye makao makuu ya jina lako napo ni masikioni pako uko pamoja na mimi mkuu?mimi liko akilini.nikiitwa naitika..
Hii quiz inabidi ifanyiwe research upya.Kwa viziwi je?
Hapa umetuchakachua! Jina lako haliwezi kuwa masikioni..
Anyway, lakini kalikuwa kamchezo kazuri! Watu wamejikanyaga sana.
Kwa Viziwi hawana majina mkuu Rejao. nimeshajibu kuwa jina lako lipo kwenye masikio yako mawili hilo ndilo jibu sahaihiKwa viziwi je?
Hapa umetuchakachua! Jina lako haliwezi kuwa masikioni..
Anyway, lakini kalikuwa kamchezo kazuri! Watu wamejikanyaga sana.
Unda tume ya Uchunguzi hata hao Ma Proffesor ukiwauliza hilo swali hawaliwezi kulijibu Swali langu mkuuHii quiz inabidi ifanyiwe research upya.
tutaunda tume
Nakuaminia kamanda! kama sio ujio wako hapa JF mpaka leo wangekuwa hawajui tiba ya asili ya mabusha. Uko juu jibabaUnda tume ya Uchunguzi hata hao Ma Proffesor ukiwauliza hilo swali hawaliwezi kulijibu Swali langu mkuu
Mkuu mie nimekuwa naipitiapitia hii thread ili nione hilo jibu la swali lako....lakini bado naona hutaki kulijibu swali lako naendelea kusubiri. Nitarudi baadaye.
hahahaaha Kwa sababu umenijibu hivyo mimi sasa nalijibu hilo swali nililokuwa nawaulizeni . Ni hivi jina lako au jina langu lipo kwenye sehemu ya MaSikioni mwilini mwako. Hilo ndilo jibu Sahihi Kwa mfano wewe ukiwa upo barabarani
mimi nikakuita kwa jina lako kwa mfano nikakuita jina lako ( klorokwini) kitu cha kwanza wewe utasikia kwa masikio yako mawili hiyo sauti aliyokuita ni nani? utageuka na kuniona mimi na kuitikia wito wangu. Mfano wa pili tukiwa tunaishi nyumba moja mimi na wewe, wewe ukawa jikoni mimi
nikawa chumbani nikakuita Mkuu kwa sauti ya juu ( klorokwini) wewe kitu cha kwanza utasikia kwa masikio yako mawili na kunijibu Naam Mzizimkavu unaniita nije? kwa hiyo jina lako lipo masikioni mwako hilo ndilo jibu sahihi asanteni samahanini kwa kukusumbueni sana.
mkuu bi AshaDiii bado tu hujaridhika? kwamfano mimi ni mume wako wewe upo jikoni unapika nikakuita kwa mfano tumezaa mtoto anaitwa omari mimi nikakuita kwa sauti ya juu kidogo mama omari wewe kitu cha kwanza utasikia kwenye masikio yako na kujuwa baba omari ananita na lazima utaitika Bee Baba omari unasemaje? mimi nikakuambia mletee mgeni chai utasikia kwa masikio yako ndio utaleta chai ili umpe mgeni wangu sio hivyo ? kwa hiyo jina lako lipo kwenye tundu za masikio yako mawili upo na mimi mkuu AshaDii?I am not sure kama nimeridhika Mzizi.... Dah! Alafu mbaya zaidi wala sielewi kwanini sijaridhika.....
mkuu bi AshaDiii bado tu hujaridhika? kwamfano mimi ni mume wako wewe upo jikoni unapika nikakuita kwa mfano tumezaa mtoto anaitwa omari mimi nikakuita kwa sauti ya juu kidogo mama omari wewe kitu cha kwanza utasikia kwenye masikio yako na kujuwa baba omari ananita na lazima utaitika Bee Baba omari unasemaje? mimi nikakuambia mletee mgeni chai utasikia kwa masikio yako ndio utaleta chai ili umpe mgeni wangu sio hivyo ? kwa hiyo jina lako lipo kwenye tundu za masikio yako mawili upo na mimi mkuu AshaDii?
:lol: naona sasa umeridhika hapo? nimetoa swali lingine angalia nimeweka Thread mpyaaaaiisee!! Huo mfano naona umekaa sawa mpaka nimeelewa.....lol... Mzizi bana!
BTW kama kweli utakua na mgeni sitaitika "Bee Baba Omari Unasemaje" Nitanyanyuka na kukufuata na kusema "Bee mme wangu, kuna kitu unahitaji??"
:lol: naona sasa umeridhika hapo? nimetoa swali lingine angalia nimeweka Thread mpya
Ninayo maswali kama hayo magumu kama 100.Nimeiona... Hujaona nisha lalama kule.... Maswali gani magumu hivo utafikiri interview...lol (enways saiz nitajitahidi kufikiri)
Ninayo maswali kama hayo magumu kama 100.
Hahahahahh unanifurahisha sana AshaDii ni chemsha bongo tu mkuu usijali.Naona una mpango members tuwe tunajifanya hatujaziona.... ili tu tusionekane wajinga...
Hahahahahh unanifurahisha sana AshaDii ni chemsha bongo tu mkuu usijali.
nafsi, the way I appearMmmh let say liko kwenye jinsia. Sasa jina kama mzizi mkavu. Ina maana jinsia zimekauka au? Mmmmmh chagua mji
Mkuu rudi bana kishatujibu, eti ni SIKIO!