Unajua, mara nyingi imenitokea watu wakiniona tu sura yangu (uso) wananitambua kirahisi kwamba mimi ndo mwenye jina hilo. Pengine hudiriki hata kuniita baada ya kuniona sura tu. Ndo maana nikasema jina langu liko usoni kwangu. Kumbe nimekosa! Mwe!Bado mkuu hujanijibu
Basi na mimi nangoja jibu lako Mkuu.