mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Hii inaonyesha kabisa wahusika wapo hapo hapo bank! Mimi nakushauri toa hiyo 25000 ili umfahamu mbaya then udai fidia. Kwa kuwa mbaya atakuwa ni muhusika wa bank hiyo hiyo
Hivi huduma za kuangalia camera Bank ni za kulipia?kuna ndugu yangu kaibiwa 1.2 M alikuwa anaandika baada ya kumaliza kujaza amount and all, that bahasha ya pesa ilikuwa pembeni sasa achukue ile bahasha ili aweze kuhesabu hela bahasha ikawaishachukuliwa pale pale bank,akatoa ripot na kuomba kama anaweza kucheki kwenye camera kaambiwa alipie sh elfu 25!(imetokea leo asb)Hii ni sawa kweli?labda cjui jamani.
Hivi huduma za kuangalia camera Bank ni za kulipia?kuna ndugu yangu kaibiwa 1.2 M alikuwa anaandika baada ya kumaliza kujaza amount and all, that bahasha ya pesa ilikuwa pembeni sasa achukue ile bahasha ili aweze kuhesabu hela bahasha ikawaishachukuliwa pale pale bank,akatoa ripot na kuomba kama anaweza kucheki kwenye camera kaambiwa alipie sh elfu 25!(imetokea leo asb)Hii ni sawa kweli?labda cjui jamani.
Hata kwenye bus unaambiwa abiria chunga mzigo wako.
Ndugu yako mzembe
Unajua tuna kikao JJ leo?
ni CRDB HOLLAND!
Yani kakamera ni kadogo aje!???????????????
huo ni wizi full..
Hii January ina wizi sana kwa sababu watu wanatafuta ada za watoto , Desemba sikukuu walitumia pesa sana hivi sasa wamechacha na ada ya shule inatakiwa. Hii Benki kama Kimei asipokuwa makini kulinda wateja watu wataachana nayo kabisa! Haiwezekani ushahidi wa picha mteja auziwe , hii haikubaliki kabisa lazima wanashirikikiana na wezi.I KNEW IT!!! IF NOT CRDB then NBC!!
Kuna uchafu unaoendela kwenye hizo benki hausemeki!! hasa January hii!
Hivi huduma za kuangalia camera Bank ni za kulipia?kuna ndugu yangu kaibiwa 1.2 M alikuwa anaandika baada ya kumaliza kujaza amount and all, that bahasha ya pesa ilikuwa pembeni sasa achukue ile bahasha ili aweze kuhesabu hela bahasha ikawaishachukuliwa pale pale bank,akatoa ripot na kuomba kama anaweza kucheki kwenye camera kaambiwa alipie sh elfu 25!(imetokea leo asb)Hii ni sawa kweli?labda cjui jamani.