David webb
Senior Member
- Nov 20, 2011
- 159
- 84
kadi ya chama pound 20,bora niende nikashiriki mikutano ya CCM pale leicester kesho,nikajumuike na watanzania wenzangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuchangia chama sio kurembua macho,kadi ya chama pound 20,bora niende nikashiriki mikutano ya CCM pale leicester kesho,nikajumuike na watanzania wenzangu.
Zitto si CHADEMA. Kwanini muogope kusema ukweli? Ni kibaraka na wa madaraka ya kupewa na CCM na TISS...
swali lake ni la msingi hata mie ningeweza uliza.jibu kama majibu yapoMbona watu Kibao tu hawashiriki M4C? kwani wewe umemuona Zito Kabwe tu?
Mbona watu Kibao tu hawashiriki M4C? kwani wewe umemuona Zito Kabwe tu?
Ukiona ashiriki m4c ujue ana majukumu mengine kichama ambayo sio lazma ww utangaziwe kaka fungukeni mbona kila siku zitto?
Chadema hatuchonganishwi hata iweje. Zitto ni jembe letu,
Kazi za chama ni nyingi na anaweza kuwa kapewa majukumu mengine kikazi. kama vile wabunge wengine walivyo na majukumu mengine.
Tukumbuke huyu ni waziri kivuli na mwenyekiti wa tume ya hesabu za mashirika ya umma hivyo ni kwamba ana majukumu mengi tayari. ile ya kigoma ni kuwahamasha wasanii waone wanathaminiwa
chadema hatuchonganishwi, zitto ni jembe letu, kwani huko ccm mmeishiwa majembe??