afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Tena kwanteee ya kwenye chungu aakkkhhh poa ile mbaya uwiiiiiiiiiiii pole wewe uko Dar nini kwanteee uitoe wapi??? Yaani huku ni raha atupu kwasasa niko Haidomu ha ha ha unakujua huku??? Wewe???
We acha utani haidom uko kwa nani. ..???mimi nimezaliwa haidom