Nauliza tu.........Is it Possible??

Mjukuu mtiifu......<br />
<br />
Heshima mbele....<br />
<br />
Babu yangu aliwahi kuniambia kuwa asilimia kubwa ya wanaume huwa wanaoa wanawake wasiowapenda (sijui ni kama wa enzi zake au mpaka wa sasa) Lakini kiukweli kuna hiki kitu watu wanasemaga &quot;wife material&quot; ambapo wanaume wanaoa kwa sababu amekutana na mtu ambaye anadeserve kuwa mkewe kwa kuwa amefikia vile vigezo anavyoona vinafaa mtu kuitwa mkewe.<br />
<br />
Unaweza kumpenda mtu sana lakini....damn....<br />
Anapaka mkorogo, watanicheka watu<br />
Mweusi sana, namimi nlivo mweusi watoto watakuwaje?<br />
Da! mfupi kama mbilikimo, ntapitaje naye mtaani? nk nk nk<br />
<br />
So unaoa yule ambaye ana vigezo ulivyojiwekea.....siku ukija kutana na yule mpaka mkorogo wako ambaye kiukweli ulimpenda, mnajirusha kama kawa....aftaroo siyo mkeo, nothing to loose........Mkeo mwenye 'wife material' yuko home analea watoto we unajirusha na yule umpendaye ila tu kwa kuwa hana 'wife material' hukumuoa.<br />
<br />
Angalia hata hapa JF vijana wengi wanavyotafuta watu wa kuoana sifa wanazowekeana...:Awe na digrii, awe mrefu, mkristo, msambaa,mrefu, mnene et el....as if mapenzi yana vigezo!<br />
<br />
Hivi nlijibu swali? Ahaa sikujibu? Orayt, jibu ni Yes, unaweza kupata true love kwenye nyumba ndogo, <font size="4">endapo tu</font> ulioa 'WIFE MATERIAL'!
<br />
<br />
Mkuu sina cha kuongeza zaidi ya kwamba, nyumba ndogo nyingi sio wife material lol.
 
Mwanajamiione it is very clear kwamba HAIWEZEKANI kwa sababu mazingira ya nyumba ndogo siku zote sio ideal in real life situation! Ikumbukwe kwamba ktk issue za nyumba ndogo ni kwamba the two wanajaribu kufit it ktk hiyo relationship kwa madhumuni tofauti. kwa mfano for some reason mwanaume/mwanamke anaweza kuwa ameboreka na ndoa yake anapojipatia nyumba nyumba ndogo mara nyingi uweka wazi masaibu yake. Hapo ndio ndio nyumba ndogo wanapo outsmart wenye ndoa zao. Just find out for yourself utagundua kuwa swala la COMMUNICATION kwa nyumba ndogo ni kubwa sana kuliko kwa wana ndoa, kutokana na hilo ni rahisi sana kwa either side kujua broadly aishije na mwenzi.
Okay kaka....huu ni mtizamo tofauti wanajamvi and ninakubali sababu alizozitoa. So Mo-Town kwa kifupi wasema kama mbaba/mama hajiexplain kwa nyumba ndogo maswaibu ayapatayo ndoani ni abadani kupata true love. Sijui mwasemaje
 
Mwanajamiione,

Longtime baby!

Yeah,kuna uwezekano kabisa kupata mapenzi ya kweli nyumba ndogo hasa pale ambapo unakuta mtu kawa na extra-marital affair kwa sababu ya kutopata mapenzi ya kutosha.I dont condonne such a disgracefully option,lakini kuna uwezekano kabisa wa watu hao wawili kupendana na kuanza kujilaumu kwa nini hawakujuana mapema.Mimi huwa napinga sana solution ya aina hii kama hupati mapenzi ya kutosha coz niko against na all forms of cheating.

Pia,kama nyumba ndogo wakikutana kama mmoja ni au wote ni players....womaniser nk hapo hakutakuwa na strong Bond
 
Inawezekana kabisa mwana.
Mi naona kwasababu kwa nyumba ndogo huwa mnaachiana nafasi kiasi kwamba kila mtu anammiss mwenzie.
Huku kuonana onana nafikiri ndio maana wanachokana.
Hebu wanandoa muwe mnapeana likizo.
 
Mwanajamiione,

Longtime baby!

Yeah,kuna uwezekano kabisa kupata mapenzi ya kweli nyumba ndogo hasa pale ambapo unakuta mtu kawa na extra-marital affair kwa sababu ya kutopata mapenzi ya kutosha.I dont condonne such a disgracefully option,lakini kuna uwezekano kabisa wa watu hao wawili kupendana na kuanza kujilaumu kwa nini hawakujuana mapema.Mimi huwa napinga sana solution ya aina hii kama hupati mapenzi ya kutosha coz niko against na all forms of cheating.

Pia,kama nyumba ndogo wakikutana kama mmoja ni au wote ni players....womaniser nk hapo hakutakuwa na strong Bond

Aksante Ben duh was about to ask your whereabouts

Hapo kwenye red: Oh was about to ask to be your nyumba ndogo Ben...........poor me.
 
Aksante Ben duh was about to ask your whereabouts

Hapo kwenye red: Oh was about to ask to be your nyumba ndogo Ben...........poor me.


Ohh,Usijali the door is open ....basi nakana maandishi yangu hapo juu,i was about to Edit them.
 
MJ1,


Sina hakika bado unatafuta jibu lipi.

Labda nikueleze kuwa ndoa ni kitu cha kipuuzi sana. Yaani huwezi kuelezea ikaeleweka vizuri na kwa aina ile ile kwa kila mtu. Hebu basi tumwache kila mtu aiongelee ndoa kwa jinsi anavyoijua (kwa wale tunaoishi Segerea/Ukonga) au kuitamani (wale ambao wamejaza ma-dreams vichwani).

Laiti ndoa ingewezekana kubadilishwa badilishwa kama magurudumu ya magari basi tungeweza kuielewa vizuri. Kwa jinsi mambo yalivyo sasa ni kizungumkuti tu....!!


Ngoja nimuwahi Bibi asinipige kibuti,....Tutaonana March bandugu bapendwa!!

Babu DC
 
Wandugu Subhai? takwenya? tukulu kabisa? (salamu jamani)

Nimejaribu kureflect mitazamo mbalimbali humu jamvini kuhusu nyumba ndogos nikajikuta najiuliza mawaswali yaso na majibu. Ninaomba msaada wenu

Inawezekana haijakutokea wewe but umeshaiona kwa mtu wako wa karibu au jirani yako....
1. Is it possible to find a true love in nyumba ndogo? (Compatible partner acc to Teamo's definition of true marriages). Kwa maana ya kwamba mtu kapata nyumba ndogo halafu wakajikuta they are so compatible kiasi cha kuhisi kuwa they were meant for eachother just that hawakubahatika kuonana/kutana mapemda kabla ya kujicommit kwingine ambako wanahisi wamekosea/force??

Hapa tunajua kuwa ni dhambi kuwa na mahusiano nje ya ndoa yako..........but tuongee reality hapa kuwa ni kweli zipo despite mafundisho hayo.

ni hilo tu................

Watu wa namna hiyo wataendelea kuona nyumba ndogo ni true love KAMA TU nyumba ndogo iendelee kubaki nyumba ndogo, akigeuzwa mke amekwishaaa! Coz baada ya muda fulan nae ataonekana ha-match na mwanaume, na mwanaume atatafuta anaza infii
 
Wandugu Subhai? takwenya? tukulu kabisa? (salamu jamani)

Nimejaribu kureflect mitazamo mbalimbali humu jamvini kuhusu nyumba ndogos nikajikuta najiuliza mawaswali yaso na majibu. Ninaomba msaada wenu

Inawezekana haijakutokea wewe but umeshaiona kwa mtu wako wa karibu au jirani yako....
1. Is it possible to find a true love in nyumba ndogo? (Compatible partner acc to Teamo's definition of true marriages). Kwa maana ya kwamba mtu kapata nyumba ndogo halafu wakajikuta they are so compatible kiasi cha kuhisi kuwa they were meant for eachother just that hawakubahatika kuonana/kutana mapemda kabla ya kujicommit kwingine ambako wanahisi wamekosea/force??

Hapa tunajua kuwa ni dhambi kuwa na mahusiano nje ya ndoa yako..........but tuongee reality hapa kuwa ni kweli zipo despite mafundisho hayo.

ni hilo tu................

...Inawezekana sana tu. Kwa maisha ya kisasa, Siamini kwamba wote wanaooana ni 100% compartible. Wengi huingia kwenye ndoa kwa sababu zilizo nje ya mapenzi wakitegemea wakishaoana watapendana 'kiukweli', matokeo yake wake kwa waume wanaishia kutafuta relief 'nyumba ndogo.'
 
Watu wa namna hiyo wataendelea kuona nyumba ndogo ni true love KAMA TU nyumba ndogo iendelee kubaki nyumba ndogo, akigeuzwa mke amekwishaaa! Coz baada ya muda fulan nae ataonekana ha-match na mwanaume, na mwanaume atatafuta anaza infii

Hili nalo neno kwa kweli
 
Mjukuu mtiifu......

Heshima mbele....

Babu yangu aliwahi kuniambia kuwa asilimia kubwa ya wanaume huwa wanaoa wanawake wasiowapenda (sijui ni kama wa enzi zake au mpaka wa sasa) Lakini kiukweli kuna hiki kitu watu wanasemaga "wife material" ambapo wanaume wanaoa kwa sababu amekutana na mtu ambaye anadeserve kuwa mkewe kwa kuwa amefikia vile vigezo anavyoona vinafaa mtu kuitwa mkewe.

Unaweza kumpenda mtu sana lakini....damn....
Anapaka mkorogo, watanicheka watu
Mweusi sana, namimi nlivo mweusi watoto watakuwaje?
Da! mfupi kama mbilikimo, ntapitaje naye mtaani? nk nk nk

So unaoa yule ambaye ana vigezo ulivyojiwekea.....siku ukija kutana na yule mpaka mkorogo wako ambaye kiukweli ulimpenda, mnajirusha kama kawa....aftaroo siyo mkeo, nothing to loose........Mkeo mwenye 'wife material' yuko home analea watoto we unajirusha na yule umpendaye ila tu kwa kuwa hana 'wife material' hukumuoa.

Angalia hata hapa JF vijana wengi wanavyotafuta watu wa kuoana sifa wanazowekeana...:Awe na digrii, awe mrefu, mkristo, msambaa,mrefu, mnene et el....as if mapenzi yana vigezo!

Hivi nlijibu swali? Ahaa sikujibu? Orayt, jibu ni Yes, unaweza kupata true love kwenye nyumba ndogo, endapo tu ulioa 'WIFE MATERIAL'!

Rafiki hilo la wife material ni kweli kabisa. nakumbuka kuna siku niliwahi kumtokea kaka mmoja kumgombeza amwache rafiki yangu maana kwa kweli alikuwa anamtesa sana. wakati huo walikuwa hawajaoana, lakini jamaa alikuwa na wasichana wengi sana, na kwa wazi kabisa. siku nikamwambia achana na huyu rafiki yangu maana hu-deserve kuwa naye. akanijibu straight kwamba hatamwacha, na huyo ndo amepanga kuwa mkewe sababu anafaa kuwa mke wake, na si msichana mwingine yeyote. Ni kweli wakaoana, lakini yule kaka bado ana wadada kibao huko nje, balaa tupu!
 
MJ1,

Mimi si muumini wa hiyo kitu mnaita eti ni "True love". Kwa hiyo lolote laweza kutokea ukiwa mwanzoni, katikati au mwisho mwa safari yako ya mahusiano na mwenza wako.

Suala la msingi na ambalo ni muhimu kuliweka maanani..."Hakuna rafiki au adui wa kudumu". Ni suala la muda na mahali ulipo (time and location)!!!

babu hapo kwenye red sijui nilie au nicheke.............. kumbe ni swala la muda!
 
Back
Top Bottom