Nauliza tu.........Is it Possible??

Mjukuu mtiif

Inawezekana kama walivosema my two sisters apo juu.. na pia inaweza kuwa ni hisia za muda tu ikumbukwe kuwa haya mambo ya hisia yanakuwa na muda wake na mahali pake......kama mwanaume nikihitaji nyumba ndogo u know what to do and what not ili kuiwin...na nadhani pia kwa upande wa wanawake pia wanapokuwa na vidumu

tukirudi kwenye hoja kwamba wengine wanakuwa wameoa /olewa kwa sababu nyingi sio mapenzi tu so when the time comes mtu anapata 'true love' anajimuvuzisha

Ila ikumbukwe kuwa nyumba ndogono ndogohaiwezi kuwa kubwa I mean sikio halizidi kichwa....

.......Duh nyie watu msinifanye nikaandaa utaratibu wa kuanzisha Hansadiz humu jamvini......inakuwaje watu mnajua makitu namna hii??
Babu Kaizer aksante sana ila hapo kwenye hisia za muda na sehemu umeniongezea knowledge katika maisha yangu. Nilikuwa nareflect ile thread ya LD ya yule mbaba alokuwa na nyumba ndogo ambayo ilimsaidia sana kimaendeleo ......sasa kama hawa walikaa muda mrefu if we assume walikuwa na true love?
 
Nadhani ni very possible kutegemeana na background ya mahusiano yaliyowapelekea kuwa kny marriage au pia huko nje unaweza kupata kile ulichokuwa unakimiss!!

GOD FORBID:hand:


Aksante WL. So its true it is possible.
 
MJ1,

Mimi si muumini wa hiyo kitu mnaita eti ni "True love". Kwa hiyo lolote laweza kutokea ukiwa mwanzoni, katikati au mwisho mwa safari yako ya mahusiano na mwenza wako.

Suala la msingi na ambalo ni muhimu kuliweka maanani..."Hakuna rafiki au adui wa kudumu". Ni suala la muda na mahali ulipo (time and location)!!!

Babu aksante sana kwa busara zako. Hasa hiyo ya adui au rafiki wa kudumu. We learn a lot here.
 
Mjukuu mtiifu......

Heshima mbele....

Babu yangu aliwahi kuniambia kuwa asilimia kubwa ya wanaume huwa wanaoa wanawake wasiowapenda (sijui ni kama wa enzi zake au mpaka wa sasa) Lakini kiukweli kuna hiki kitu watu wanasemaga "wife material" ambapo wanaume wanaoa kwa sababu amekutana na mtu ambaye anadeserve kuwa mkewe kwa kuwa amefikia vile vigezo anavyoona vinafaa mtu kuitwa mkewe.

Unaweza kumpenda mtu sana lakini....damn....
Anapaka mkorogo, watanicheka watu
Mweusi sana, namimi nlivo mweusi watoto watakuwaje?
Da! mfupi kama mbilikimo, ntapitaje naye mtaani? nk nk nk

So unaoa yule ambaye ana vigezo ulivyojiwekea.....siku ukija kutana na yule mpaka mkorogo wako ambaye kiukweli ulimpenda, mnajirusha kama kawa....aftaroo siyo mkeo, nothing to loose........Mkeo mwenye 'wife material' yuko home analea watoto we unajirusha na yule umpendaye ila tu kwa kuwa hana 'wife material' hukumuoa.

Angalia hata hapa JF vijana wengi wanavyotafuta watu wa kuoana sifa wanazowekeana...:Awe na digrii, awe mrefu, mkristo, msambaa,mrefu, mnene et el....as if mapenzi yana vigezo!

Hivi nlijibu swali? Ahaa sikujibu? Orayt, jibu ni Yes, unaweza kupata true love kwenye nyumba ndogo, endapo tu ulioa 'WIFE MATERIAL'!

Duh BAbu.............HESHIMA Mbele so nyumba ndogo are there to stay......hiyo ya wife material mie ningependa sana kupata ufafamuzi kwenu kina kaka when you say wife materia ndo anakuwaje??
 
Naomba mungu aniepushie balaa hili. Kujibu hoja ni ndio inawezekana kama hamkupendana na partner wako kiukweli.

Dinna kweli MUNGU aepushe mbali
.............. hiyo kutopendana kiukweli kweli ni tatizo. I know a guy ambaye alimwoa galfriend wake kwa kujilazimisha kisa aliamua kuwa muwazi baada ya kuona they are so much incompatible alimwambia ukweli they should stop the relationship Binti akanywa dawa ajiue then vikao vikaomba amuoe tu. Sasa masikini mkaka kila kukisha mawazo yako kwa the dreamy woman.........anakuwa wa kwanza kumsms good morning asubuhi kila iitwayo leo na goodnite and sweet dreams kila siku..... Ni mwaka wa 8 sasa tangu 2004!!!
 
Duh BAbu.............HESHIMA Mbele so nyumba ndogo are there to stay......hiyo ya wife material mie ningependa sana kupata ufafamuzi kwenu kina kaka when you say wife materia ndo anakuwaje??

Hahaha...jamaa yangu alikuwa anampenda sana demu wake enzi tunasoma....Alimpenda sana. Mpaka jamaa walipomwambia: hivi siku ukaja kuwa na wadhifa flani, huyo utakuwa radhi kwenda naye kwenye hafla ukamtambulisha kwa wenye hadhi wenzio? Jamaa akampiga chini akaoa mchuchu mwingine.....Haikupita miaka jamaa akaendelea kuibanjua amri ya sita na ampendaye..

Anyway, mi nadhani WIFE MATERIAL ni mwonekano wa ki-nje zaidi....figure, tabia, sauti, sura, haiba nk nk nk.....wakati TRUE LOVE haliangalii hiyo! Ndio unaposhangaa jamaa kaoa....changudoa, malaya, mwizi, chakubimbi, chongo anaona kengeza nk nk nk
 
Hahahahaaaaaaaaaaa natamani ningekua member wa dowans ningekua nategemea kupata mafweza sasa, mtazamo wangu kuhusu mapenzi kwa kweli kila siku zinavyoenda nakosa jibu, nimeamua niache kama ilivyo tu kitakachotokea poa tu mradi maisha yanaendelea, sitaki kabisa kujimiza kichwa kuhusu mapenzi hayana formula.

Dear maty si kweli kabisa mapenzi yana formula = 1 + 1 = 1 ......kuwa mnakuwa kitu kimoja ingawa mwala sahani mbili tofauti.
 
Hahaha...jamaa yangu alikuwa anampenda sana demu wake enzi tunasoma....Alimpenda sana. Mpaka jamaa walipomwambia: hivi siku ukaja kuwa na wadhifa flani, huyo utakuwa radhi kwenda naye kwenye hafla ukamtambulisha kwa wenye hadhi wenzio? Jamaa akampiga chini akaoa mchuchu mwingine.....Haikupita miaka jamaa akaendelea kuibanjua amri ya sita na ampendaye..

Anyway, mi nadhani WIFE MATERIAL ni mwonekano wa ki-nje zaidi....figure, tabia, sauti, sura, haiba nk nk nk.....wakati TRUE LOVE haliangalii hiyo! Ndio unaposhangaa jamaa kaoa....changudoa, malaya, mwizi, chakubimbi, chongo anaona kengeza nk nk nk


Hahahaaaaaaaaaaaa lol nicheke tu mie leo mwe!
 
Wandugu Subhai? takwenya? tukulu kabisa? (salamu jamani)

Nimejaribu kureflect mitazamo mbalimbali humu jamvini kuhusu nyumba ndogos nikajikuta najiuliza mawaswali yaso na majibu. Ninaomba msaada wenu

Inawezekana haijakutokea wewe but umeshaiona kwa mtu wako wa karibu au jirani yako....
1. Is it possible to find a true love in nyumba ndogo? (Compatible partner acc to Teamo's definition of true marriages). Kwa maana ya kwamba mtu kapata nyumba ndogo halafu wakajikuta they are so compatible kiasi cha kuhisi kuwa they were meant for eachother just that hawakubahatika kuonana/kutana mapemda kabla ya kujicommit kwingine ambako wanahisi wamekosea/force??

Hapa tunajua kuwa ni dhambi kuwa na mahusiano nje ya ndoa yako..........but tuongee reality hapa kuwa ni kweli zipo despite mafundisho hayo.

ni hilo tu................

Mwanajamiione it is very clear kwamba HAIWEZEKANI kwa sababu mazingira ya nyumba ndogo siku zote sio ideal in real life situation! Ikumbukwe kwamba ktk issue za nyumba ndogo ni kwamba the two wanajaribu kufit it ktk hiyo relationship kwa madhumuni tofauti. kwa mfano for some reason mwanaume/mwanamke anaweza kuwa ameboreka na ndoa yake anapojipatia nyumba nyumba ndogo mara nyingi uweka wazi masaibu yake. Hapo ndio ndio nyumba ndogo wanapo outsmart wenye ndoa zao. Just find out for yourself utagundua kuwa swala la COMMUNICATION kwa nyumba ndogo ni kubwa sana kuliko kwa wana ndoa, kutokana na hilo ni rahisi sana kwa either side kujua broadly aishije na mwenzi.
 
Hahaha...jamaa yangu alikuwa anampenda sana demu wake enzi tunasoma....Alimpenda sana. Mpaka jamaa walipomwambia: hivi siku ukaja kuwa na wadhifa flani, huyo utakuwa radhi kwenda naye kwenye hafla ukamtambulisha kwa wenye hadhi wenzio? Jamaa akampiga chini akaoa mchuchu mwingine.....Haikupita miaka jamaa akaendelea kuibanjua amri ya sita na ampendaye..

Anyway, mi nadhani WIFE MATERIAL ni mwonekano wa ki-nje zaidi....figure, tabia, sauti, sura, haiba nk nk nk.....wakati TRUE LOVE haliangalii hiyo! Ndio unaposhangaa jamaa kaoa....changudoa, malaya, mwizi, chakubimbi, chongo anaona kengeza nk nk nk


So mpaka hapa hakuna wife material wala nini ni feki----- wife material nilitegemea ingekuwa kinyume..wife material unaangalia tabia nzuri, heshima na upendo ambao hutoka sana sana kwa wale ambao hawana mvuto kiviiiile mara nyingi (Wengi wa machepele huwa wana mivuto bwana).
 
Mjukuu,

Inawezekana kutokana na mahusiano yenu hapo nyuma yalikuwaje na kama mmoja aliingia kwenye ndoa huku bado akimpenda mwenzake basi kile ambacho atakuwa ana ki-miss kwenye ndoa ambacho alikuwa anapata zamani kwa huyo mwingine kabla hajaoa basi ni dhahiri kwamba warudi kwenye mahusiano motomoto tu.
 
hii kitu inawezekana kabisa,hasa ukizingatia yule mwenye kutafuta nyumba ndogo yuko kny mahusiano ya namna gani,nini chanzo chake cha kuwa kny uhusiano alio nao,na ni nini anachoona anakihitaji zaidi ingawa hakuna aliye sahihi sana ila wanazidiana kwa namna mbalimbali

Amen.............ninakubaliana na wewe.
 
Mwanajamiione it is very clear kwamba HAIWEZEKANI kwa sababu mazingira ya nyumba ndogo siku zote sio ideal in real life situation! Ikumbukwe kwamba ktk issue za nyumba ndogo ni kwamba the two wanajaribu kufit it ktk hiyo relationship kwa madhumuni tofauti. kwa mfano for some reason mwanaume/mwanamke anaweza kuwa ameboreka na ndoa yake anapojipatia nyumba nyumba ndogo mara nyingi uweka wazi masaibu yake. Hapo ndio ndio nyumba ndogo wanapo outsmart wenye ndoa zao. Just find out for yourself utagundua kuwa swala la COMMUNICATION kwa nyumba ndogo ni kubwa sana kuliko kwa wana ndoa, kutokana na hilo ni rahisi sana kwa either side kujua broadly aishije na mwenzi.
Mo-TOWN inawezekana because i have seen it happening may be unasema haiwezekani kwasababu haujaona kitu kama hicho kikitokea but for me i have seen it happening
 
Asilimia 100% ya ndoa ni matokeo ya mazingira (chances) na siyo mapenzi ya dhati (choices)! ...

Kwahiyo asilimia 100% ya "nyumba ndogo" ni matokeo ya "choices"...

Kama jamii na Imani za dini fulani zingeruhusu ... Asilimia 100% ya wanandoa wangekuwa na wenza zaidi ya mmoja "legally" ...
Kyabushaija ................okay NDOA ni matokeo ya mazingira.............I hope si zote.

Hiyo ya tatu Kyabu nina amini kabisa kwa trend hii tulionayo...tutafika huko tu one day
 
So mpaka hapa hakuna wife material wala nini ni feki----- wife material nilitegemea ingekuwa kinyume..wife material unaangalia tabia nzuri, heshima na upendo ambao hutoka sana sana kwa wale ambao hawana mvuto kiviiiile mara nyingi (Wengi wa machepele huwa wana mivuto bwana).

Ok na hayo yote tuyaweke kwenye wife material, mjukuu mtiifu nambie, True love ni Tabia njema? heshima? Upendo? Unaweza ukawa navyo vyote hivyo na watu wakakumega wakasepa...bila kukupenda kiukweli LOLZ

Na Mvuto wa hao machepele nao ni TRUE LOVE? Si ndio wife material nazungumzia hapo? Kwamba mi nataka nioe kifaa kikali kama mjukuu mtiifu...si ana mvuto? Ili nikipita nacho mitaani kina Bigirita wanitambue.....waseme pale babu kaoa bana! Kumbe LOL! Au umesahau ulinambia Bibi ni mzuri? Kwa hiyo unajuaje kama nilimwoa kwa sababu ya uzuri huo (hapa naita WIFE MATERIAL) au nilimpenda kiukweli?
 
Back
Top Bottom