MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #21
Mjukuu mtiif
Inawezekana kama walivosema my two sisters apo juu.. na pia inaweza kuwa ni hisia za muda tu ikumbukwe kuwa haya mambo ya hisia yanakuwa na muda wake na mahali pake......kama mwanaume nikihitaji nyumba ndogo u know what to do and what not ili kuiwin...na nadhani pia kwa upande wa wanawake pia wanapokuwa na vidumu
tukirudi kwenye hoja kwamba wengine wanakuwa wameoa /olewa kwa sababu nyingi sio mapenzi tu so when the time comes mtu anapata 'true love' anajimuvuzisha
Ila ikumbukwe kuwa nyumba ndogono ndogohaiwezi kuwa kubwa I mean sikio halizidi kichwa....
.......Duh nyie watu msinifanye nikaandaa utaratibu wa kuanzisha Hansadiz humu jamvini......inakuwaje watu mnajua makitu namna hii??
Babu Kaizer aksante sana ila hapo kwenye hisia za muda na sehemu umeniongezea knowledge katika maisha yangu. Nilikuwa nareflect ile thread ya LD ya yule mbaba alokuwa na nyumba ndogo ambayo ilimsaidia sana kimaendeleo ......sasa kama hawa walikaa muda mrefu if we assume walikuwa na true love?