Nauliza kwa nini Agakhan Foundation wanapewa misamaha ya kodi

Nyie ndo mnalichafua jamvi nakuonekana kuwa ni la vilaza. Mada umeielewa au umeamua kutumia moyo wako kuchangia badala ya kutumia kichwa?
Ndicho nilichomtahadharisha nacho mwanzishaji wa huu uzi, kuwa anatafuta ugomvi! ona sasa kuandaa kwangu mazingira mazuri ya huu mjadala kunaishia mimi kuonekana kuwa ni mchafuzi wa jamvi!
Nchi hii hutakiwi kugusa chochote kilicho na maslahi ya Kanisa!
 
Ameshindwa kutuonyesha KCMC au Bugando gharama zao ni kiasi gani!
Tukipata tuangalie idadi ya pesa ambazo KCMC inaingiza kutoka Serikalini (Ruzuku,ukarabati, msamaha wa kodi n.k)na Aghakhan nayo inaingiza kiasi gani ili tujumlishe. simple


Sadeeq

Nimevutiwa na mjadala huu kwa sabab kidogo unanihusu.

Mwaka-2007, mke wangu alilazwa kolandoto- shinyanga. Alifanyiwa operation ya tumbo na (sio uzazi tafadhali) dk Bwile, na nakumbuka vizuri pia dk Shibirit maana walinisaidia sana. Mke wangu hajambo tena wa afya japokuwa nimehama shinyanga.

Nililipa jumla ya tsh. 350,000 elf gharama zoote na alilazwa kwa week tatu.

a) wewe umedebate na mtoa hoja kinadhalia kwa wenye uelewa wanaelewa hukubalian nae.

a) kama hukubalian nae maana yake unadata maana huwezi pinga jambo usilolijua na huna ushaid. Yeye katoa zake lete zako kusupoti hoja yako.

b) fanya mahesabu pamoja na depreciation ya tz sh kujuwa kolandoto is cheaper.

Tusaidie ww upande wako unadata zipi tulinganishe.
 
Ndicho nilichomtahadharisha nacho mwanzishaji wa huu uzi, kuwa anatafuta ugomvi! ona sasa kuandaa kwangu mazingira mazuri ya huu mjadala kunaishia mimi kuonekana kuwa ni mchafuzi wa jamvi!
Nchi hii hutakiwi kugusa chochote kilicho na maslahi ya Kanisa!
Hahahhaaaaaa unaandaa mazingira mazuri ya huu uzi? Si ungeanzisha wa kwako badala ya kudandia wa mwenzio?
 
hivi na wewe kumbe uelewa wako bado ni mdogo. Unaweza ukalinganisha gharama ya huduma zitolewazo na bungano na zile za aghakhan.

Mkuu jaribu kusoma mabandiko ya wenzako kwa makini itakusaidia kuelewa, wapi mie nimelinganisha gharama kati Bungando na Agakhan? Nilichosema kuna hospital zingine nazo zina gharama kubwa ingawa wanaptata misamaa ya kodi.
 
Wanabodi,

Kuna vitu viwili hapa naombeni mnifahamishe na kwa faida ya JF kuna misamaa ya kodi kwenye taasisi hizo na kuna kupewa ruzuku kutoka serikali, Aga Khan hospital nao wanapewa ruzuku kutoka serikalini kama hospital zingine...na kama wanapewa zinalingana na hospital zingine.
 
Sadeeq

Nimevutiwa na mjadala huu kwa sabab kidogo unanihusu.

Mwaka-2007, mke wangu alilazwa kolandoto- shinyanga. Alifanyiwa operation ya tumbo na (sio uzazi tafadhali) dk Bwile, na nakumbuka vizuri pia dk Shibirit maana walinisaidia sana. Mke wangu hajambo tena wa afya japokuwa nimehama shinyanga.

Nililipa jumla ya tsh. 350,000 elf gharama zoote na alilazwa kwa week tatu.

a) wewe umedebate na mtoa hoja kinadhalia kwa wenye uelewa wanaelewa hukubalian nae.

a) kama hukubalian nae maana yake unadata maana huwezi pinga jambo usilolijua na huna ushaid. Yeye katoa zake lete zako kusupoti hoja yako.

b) fanya mahesabu pamoja na depreciation ya tz sh kujuwa kolandoto is cheaper.

Tusaidie ww upande wako unadata zipi tulinganishe.
Ningeomba tuifanyie utafiti kwa pamoja hii ripoti ya Mkandara aliyeandika hivi katika mada "Hotuba ya Kikwete katika baraza la Idd-Mawazo yangu": anaandika Mkandara:
Leo shule za makanisa ni ghali kuliko hata private schools za watu binafsi hali wanapewa ruzuku za walipa kodi kuziendesha bado unashangaa ati kwa nini Waislaam hawakufanya kama nyie?. Operation KCMC ni ghali kuliko kupeleka mgonjwa India!.. acha hizo habari za upambaji wa FJM utafikiri advocate wa Kanisa kutazama upande mmoja wa shilingi. Tunazubngumza hapa kama Watanzania na sii Wakristu vs waislaam.."https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/168981-hotuba-ya-rais-ya-kikwete-kwenye-baraza-la-idd-mawazo-yangu-4.html
 
Kinachokuhusu niñi? Hata wakilipa itakusaidia nini?


Ndugu wanaJF napenda kufahamu kwa nini taasisi ya Agakhan inapewa misamaha ya kodi hapa nchini kwetu. Nina uliza kwa sababu huduma za Agakhan mfano hospital za Agakhan ni ghali kuliko hospitali zote hapa nchini. Mfano mtoto mdogo wa wiki moja ukimpeleka Agakhan ili alazawe lazima uweke deposit ya laki tano za Tanzania ndiyo apewe huduma ya matibabu. Kumwona daktari ni elfu Ths 40,000-70,000. Shule za Agakhan ada zake nazo zipo juu kulinginishwa shule zingine za binafsi. Je kwanini wapate misamaha ya kodi? Je wanastahili kupewa misamaha ya kodi?
 
Kwa kuangalia hili swala nadhani ni vizuri tutofautishe kati ya taasisi za Aga Khan Foundation na mali binafsi za Aga Khan mwenyewe - Diamond, Jubilee Insurance, Magazeti na Mahoteli ni private business.
 
Mkuu nahisi unakimbia mada. Alichouliza ni uhalali wa kupewa msamaha halafu gharama zao zikawa juu. Nadhani ulipaswa kutaja hospitali gani za hao akina Pengo zenye garama kama au kuliko agakhani ili nazo tuzijadili.

KCMC haina tofauti na Agha Khan.
 
Ningeomba tuifanyie utafiti kwa pamoja hii ripoti ya Mkandara aliyeandika hivi katika mada "Hotuba ya Kikwete katika baraza la Idd-Mawazo yangu": anaandika Mkandara:
Leo shule za makanisa ni ghali kuliko hata private schools za watu binafsi hali wanapewa ruzuku za walipa kodi kuziendesha bado unashangaa ati kwa nini Waislaam hawakufanya kama nyie?. Operation KCMC ni ghali kuliko kupeleka mgonjwa India!.. acha hizo habari za upambaji wa FJM utafikiri advocate wa Kanisa kutazama upande mmoja wa shilingi. Tunazubngumza hapa kama Watanzania na sii Wakristu vs waislaam.."https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/168981-hotuba-ya-rais-ya-kikwete-kwenye-baraza-la-idd-mawazo-yangu-4.html


Summarise report ya mukandala ukizingatia ulinganifu wa gharama za matibabu, hospital moja hadi nyingine.

Sadeeq
Ukiweka data vizuri hapa na kujenga hoja vizuri utakuwa umewasaidia watanzania wote tunahitaji huduma bora kwa gharama nafuu. Ugonjwa hauna din ww.
 
Summarise report ya mukandala ukizingatia ulinganifu wa gharama za matibabu, hospital moja hadi nyingine.

Sadeeq
Ukiweka data vizuri hapa na kujenga hoja vizuri utakuwa umewasaidia watanzania wote tunahitaji huduma bora kwa gharama nafuu. Ugonjwa hauna din ww.
Huduma bora kwa gharama nafuu ilhali mna MoH na Kanisa huku likifaidi misamaha ya Kodi na serikali kuwasomeshea wafanyakazi wake sahau!
Serikali pia inamgharimia Rais safari za nje ili kuliombea Kanisa misaada pia, hii ipo kwenye MoH! wewe bakia hapohapo ukisubiri huduma bora kwa gharama nafuu.
 
Ndugu wanaJF napenda kufahamu kwa nini taasisi ya Agakhan inapewa misamaha ya kodi hapa nchini kwetu. Nina uliza kwa sababu huduma za Agakhan mfano hospital za Agakhan ni ghali kuliko hospitali zote hapa nchini. Mfano mtoto mdogo wa wiki moja ukimpeleka Agakhan ili alazawe lazima uweke deposit ya laki tano za Tanzania ndiyo apewe huduma ya matibabu. Kumwona daktari ni elfu Ths 40,000-70,000. Shule za Agakhan ada zake nazo zipo juu kulinginishwa shule zingine za binafsi. Je kwanini wapate misamaha ya kodi? Je wanastahili kupewa misamaha ya kodi?

Hospitali zote pamoja na madawa ina misamaha ya kodi. Ni hospitali ipi isiyo na misamaha ya kodi?
 
Nilikuwa nikifikiria kuwa Kanisa la Pengo lilikuwana mwakilishi wakati wa kusaini ile "MoH" na kwa vile yeye ndiye kinara ndio maana nikamtaja.Mkuu! ili kuurahisisha huu mjadala tungeangalia ni kiasi gani cha ruzuku inayopata mahospitali yote ya Kanisa kisha tuioanishe na ruzuku inayopata AghaKhan. Tuangalie pia ruzuku za gharama za ukarabati, elimu kwa wafanyakazi tuoanishe.
Halafu tuangalie gharama za matibabu kati ya hospitali moja ya Aghakhan na KCMC au Bugando tuoanishe, hii nafikiri itakuwa njia rahisi ya kuwa na munakasha wenye tija au unafikiri kuna njia nyingine rahisi zaidi ya hii kuuendesha huu mjadala?
Nakumbuka kuna mchangiaji hapa aliye oanisha gharama za kumtibu mgonjwa wake KCMC na India jibu ikawa India ni rahisi zaidi kuliko KCMC, hii ilimlazimu kumpeleka mgonjwa wake India! huyu ni mlipa kodi ambaye kiasi cha kodi yake kinakwenda kama "ruzuku" KCMC na ameshindwa kumtibu mgonjwa wake pale! Serikali pia inapoteza pale pesa ya huyu mlipa kodi inapokwenda kutumika nje ya nchi badala ya kuuingiza katika mzunguko wa pesa nchini.
Miaka kadhaa iliyopita gharama tu za kujiandikisha Bugando Hospital ilikuwa ni elfu Ishirini!
MoH inabidi ifutwe pesa za ruzuku zirudishwe (mkataba hauna ridhaa ya walipa kodi) wasioweza kurudisha Hospitali zao ziuzwe ili kufidia na Serikali ichukuwe its own responsibility.

Mmh, basi hao Bugando kiboko, elfu 20 ni kujiandikisha kwa maana ya kadi au na kumuona daktari?
 
Kiufupi si misamaha ya Kodi tu inayotakikana kuangaliwa ruzuku nazo pia zitupiwe jicho na huwezi kufanya hivyo bila ya kuuvunja mkataba wa MoU na kanisa.
Kwenye hii MoU ndiyo kipimo cha sincerity ya wanaoitakia mema TZ.
 
Huduma bora kwa gharama nafuu ilhali mna MoH na Kanisa huku likifaidi misamaha ya Kodi na serikali kuwasomeshea wafanyakazi wake sahau!
Serikali pia inamgharimia Rais safari za nje ili kuliombea Kanisa misaada pia, hii ipo kwenye MoH! wewe bakia hapohapo ukisubiri huduma bora kwa gharama nafuu.


Naona kazi ipo, rais, moh, kusomesha wafanyakazi, huduma bora, kanisa kufaid misaada, malipo ghali kwa mahospitali nk.


Sideeq

Tunajadili lipi katika hayo? Maana tunachanganya mambo mengiii...

Ulitaka rais afanye nin? Japokuwa ni mwislam anawakilisha makundi yote. Wanaobudu na wasioabudu. Tusingependa tuwe ombaomba kwasabab taifa linaraslimali za kutosha. Lakin rais akipata fulsa anaitumia iwe kwa maslah ya waislam, wakristu nk. Ndo sabab mkapa aligawa majengo moro kwa waislam kwa maana zuri ya kimaendeleo.

Sasa kama unadata zozote kuhusu mjadala wetu mwaga jamnvin. Kama huna sio mbaya mwanajf mwenzangu.
 
Naona kazi ipo, rais, moh, kusomesha wafanyakazi, huduma bora, kanisa kufaid misaada, malipo ghali kwa mahospitali nk.


Sideeq

Tunajadili lipi katika hayo? Maana tunachanganya mambo mengiii...

Ulitaka rais afanye nin? Japokuwa ni mwislam anawakilisha makundi yote. Wanaobudu na wasioabudu. Tusingependa tuwe ombaomba kwasabab taifa linaraslimali za kutosha. Lakin rais akipata fulsa anaitumia iwe kwa maslah ya waislam, wakristu nk. Ndo sabab mkapa aligawa majengo moro kwa waislam kwa maana zuri ya kimaendeleo.

Sasa kama unadata zozote kuhusu mjadala wetu mwaga jamnvin. Kama huna sio mbaya mwanajf mwenzangu.
MoU kati ya Serikali ya Tanzania na Kanisa:
ARTICLE X111
The Government should endavour to include FINANCIAL ASSISTANCES to Church run social services in its belateral negotiations particular with the Federal Republic of Germany.Consideration shall be made during such belateral negotiations with other donors.
 
Bei za huduma zao sio kigezo cha kutoa au kutotoa msamaha wa kodi, kigezo ni kama wao ni taasisi ya kidini au wao ni Non-profit organization. Haijalishi bei ya huduma zao.
 
Back
Top Bottom