Tatizo la pale B bar hawapo shap alafu mapishi yao sio mazuri na ule mzani wao haupimi vizuri.
Mbona mnanikumbusha mambo mazuri mida hii
Waungwana salamu
Jamani nakwazika miye, Eti Kiti Moto ni ruksaaaaaaaaaaa na kama ni ruksaaa ni kwa dini zote? Nasika waislamu hawali lakini nawaonaga kitaa wakijipiga na ze kitis. Wakristu wao wanakulaga tena bila kificho. Je huyu jamaa ni kweli ruksa?
Tatizo la pale B bar hawapo shap alafu mapishi yao sio mazuri na ule mzani wao haupimi vizuri.
Hivi we ni Natasha wa wapi? X wangu alikuwa anaitwa Natasha a.k.a Naty.Jamani karibuni kwa chotta banana kipo cha kuchoma kwa gesi ni balaa.
hiyo ruksa mmiku yani hapa ushanitamanisha naona jpili mbali ss kwann umeleta hoja hii
Swala sio aleji tu, kale kamnyama kametulia bwana...hahaaaa, kipindi fulani nilikuwa nafanya kazi pale makambako Iringa, basi wale watu ni wazuri kweli yaani buku tatu unaambiwa chagua mwenyewe; maini, mbavu, moyo, steki au nini....kule unavyoona mjini hapa wanachoma mahindi na kuuza kule ni Kitimoto mtu wangu...hah hahhaaaa utapenda. Mbona nilinenepa.
MUHIMU: Ni dawa kwa wagonjwa wa HIV hasa yale mafuta yake
Ni katamu bwana....ila usiwaambie hawa ndugu zetu; waislamu na wasabato...watatumalizia...tuendelee kuwadanganya kuwa ni Sumu sio haramu tu bali pia ni sumu......imekula kwaoooooo
Hapo kwenye Red Mkuu yawezekana kweli Maana kule Makete yule Mdudu huwa anatolewa ile Ngozi ya Nje halafu inauzwa Separately halafu nasikia ile Ngozi yenyewe ni deal kuliko hata ile Steki ha ha haaaaaaaaaaa
ANGLES PUB aka Chotta, bar hiyo nayo inatatizo la wateja wengi, nilikua na piga misele maeneo hayo wakati nikiwa mwalimu wa Kemia pale Airwing sekondari, Chatta yuko pale tangu miaka ya 90 mwishoni, nakumbuka kilikua kijiwe changu, naamini banana ndio eneo linaloongoza kwa kuuzwa kitimoto nyingi kuliko eneo lingine lolote, maana kuna bar zaidi ya 20 pale nyuma, mpe salaam Chota na wahudumu woote pale , kina Reheme , kashinde , swahiba, kama bado wapo. daaah umenikumbusha mbaali sana.Jamani karibuni kwa chotta banana kipo cha kuchoma kwa gesi ni balaa.