Nauliza "Cheapest Call to Tanzania"

Baba Mkubwa

JF-Expert Member
Oct 18, 2008
792
57
Ndugu Wana JF,

Nimekuwa natumia kupiga simu nyumbani Tanzania kutoka huku niliko (Finland) kwa kupitia intervoip na nikahamia actionvoip. Kuhama kwangu kulitokana na gharama kupanda. Kwasasa hata actionvoip gharama imepanda, kulingana na kipato changu. Kwasasa ni €0.12/min. Nimecheki intervoip, voip, n.k nimekuta bado gharama. Ndugu yeyeto ambae anafahamu kapuni gani, au njia gani inatumika kupiga simu ambazo gharama zake ni kidogo?

natambua uwepo wa skype, yahoo lakini ningependa kufahamu hii ya calling to mobile phones....

Asante
 
Ndugu Wana JF,

Nimekuwa natumia kupiga simu nyumbani Tanzania kutoka huku niliko (Finland) kwa kupitia intervoip na nikahamia actionvoip. Kuhama kwangu kulitokana na gharama kupanda. Kwasasa hata actionvoip gharama imepanda, kulingana na kipato changu. Kwasasa ni €0.12/min. Nimecheki intervoip, voip, n.k nimekuta bado gharama. Ndugu yeyeto ambae anafahamu kapuni gani, au njia gani inatumika kupiga simu ambazo gharama zake ni kidogo?

natambua uwepo wa skype, yahoo lakini ningependa kufahamu hii ya calling to mobile phones....

Asante


Mkuu checki hawa kama watakufaa www.rebtel.com
 
jaribu voipcheap.com au localphones.com

Nashukuru mkuu
Mkuu pitapita nimeziangalia hizo lakini bei yake ni sawa na zile nilizokuwa ninazotumia maana ni € 0.12 na € 0.1245 per min....mwezi wa 1 na wa 2 nilizokuwa natumia zilikuwa €0.05, lakini sasa zinaenda mpaka €0.12
 
Bei ni hizohizo..kaa vipi tuma sms tu pale unapoona inakula sana..

Mkuu Abdulhalim
Nashukuru maana inaonesha umefuatilia (kama si kutumia) kampuni nilizotaja.....option ya sms ipo, lengo langu lilikuwa ni kufahamu kama kuna kampuni nyingine ambayo ina cheapest calling rates.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom