Nauliza: Bodaboda na bajaji wana leseni?

mataka

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
286
61
Wadau nimeishi mjini zaidi ya miaka 20 lakini barabara naiogopa, ajali naziogopa usipime sasa najiuliza hawa vijana wetu waliojiajili kwa kuendesha bajaji na bodaboda sheria za usalama barabarani wanazijua kweli kama waendesha vyombo vya moto.? Nahofia sana manake siku za karibun kumezuka wimbi kubwa la vijana wa kijiweni kuendesha hivi vyombo wapo ninaowafahamu nina uhakika hawana leseni. Sielewi upande wa trafik hususan hili swala kwao wanalichukuliaje.
 
asilimia kubwa hawana leseni, mtu anajifunza mtaani wiki 1, anakabdhiwa boda2. Ajali hazitaisha kwa mpango huu. Trafik hawalion hili cjui kwa nini.
 
Tafiti zinaonesha kuwa, dereva mwenye leseni na mzoefu, yuko likely kusababisha ajali kuliko dereva ambaye ni learner!!!. Kwa mantiki hiyo, Hata tukihakikisha Madereva wote wa bodabpoda wana leseni, ajali za bodaboda zitaendelea kuwa palepale. Tatizo hapa ni miundombinu ambayo si friendly kwa uendeshaji wa bodaboda, pia ni neglegence na arrogance ya watu wenye magari towards bodaboda drivers. Hawa vijana hawathaminiki kabisa wakiwa barabarani, simply kwa sababu, knocking a bodaboda waill cause minimum or no damage to the car altogether!!.
Serikali inatakiwa ihakikishe kuna miundombinu inayo ruhusu uendeshaji wa bodaboda safely, ikiambatana na kuelimisha madereva wote wa bodaboda na Magari juu ya haki na wajibu wa kila mmoja kwa mwenzake!!.
Nilichogundua ni kwamba watanzania tunapokuwa barabarani upendo wetu kwa mwenzako wa chombo kingine jirani yako huwa haupo na tunakuwa kama wanyama, na ndo maana hata gari kwa gari unaweza ukawa unamuomba mtu uweze kupita lakini anakubania hivihivi, wa kati he or she had nothing to loose angekuruhusu upite.
 
  • Thanks
Reactions: BIR
Nauliza: bodaboda na bajaji wana leseni?
wapo ninaowafahamu nina uhakika hawana leseni

Basi jibu tyr unalo...wapo wenye leseni na wasiokuwa na leseni
 
Back
Top Bottom