Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
kwani bei zinazo panda ni dala dala tu au ni pamoja na mabasi ya mikowani na je unajua athari zake....tegemea kupanda kwa kila kituwanataka mfanye mazoezi kidizaini kwa kutembea maaana mmekuwa legelege