JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,509
- 7,532
jamani, niliwahi kusikia kwamba miaka kadhaa iliyopita kulikuwa na mfumo wa kulipa nauli kulingana na umbali aliosafiri abiria hapa bongo. hivi hili lina ukweli wowote? na kama ni la ukweli, kwa nini mfumo huo uliachwa? nadhani kuna haja ya kuirudisha huu mfumo, unaweza kuchangia kupunguza gharama za usafiri kwa kiasi fulani kwa baadhi ya watu. wadau mnaoishi au mliowahi kutembelea/kuishi maeneo mengine duniani mifumo ya huko iko vipi?