Nauli Feri: Mnyika, Hata Wewe?

hujakosea kujiita mchambuzi. Lakini magufuli alitumia muda kiasi gani kutoa elimu kama uliyoitoa hapo? Au ndio yale ya kupandikiza sheria kila anapoona mwanya?
 
Nakupongeza sana mchambuzi kwa kuchanganua jambo hili nafikiri hawa wabunge, wananchi na mh, makugufuli kila mmoja amepata sehemu yake iliyomgusa ktk issue hii ya nauli ya kivuko. Nilichogundua na ambacho wanasiasa wetu wanalenga ni kura tuu ndo hata mambo ambayo wanapaswa kuwaambia wapiga kura wao wanashindwa, tutapumbazwa sana na wanasiasa wa namna hii katika kutimiza malengo yetu.
Mnyika amesema kuwa tatizo ya mapato ya kivuko ni usimamizi mbovu wa pesa zinazokusanywa, kwahiyo yeye anaamini kuwa hata ile sh.100 intosha kuendesha kivuko kinachotakiwa ni kudhibiti ufisadi ktk kivuko. Kwa hapo yuko right maana serikali ya ccm ni bingwa wa kupandisha ushuru na kodi huku mapato mengi yakipotea kwa ufisadi. Magufuli angehakikisha kwanza ukusanyaji wa pesa kivukoni unasimamiwa kikamilifu baada ya hapo ndo ajue kama unatakiwa kuongeza au la. Hii tabia sio ngeni ya watu kukusanya mapato na kuyaweka mfukoni na hapo ndio ubovu mkubwa wa serikali ya ccm ulipo, dawa sio kuongeza ushuru swala ni kuhakikisha pesa zinazokusanywa zinakwenda mahali pake halafu ndo tuongeze ikihitajika. Lakini sio kufanya kazi ya kupandisha ushuru bila kutoa maelezo kivuko kinavusha watu na vitu vingapi kwa siku na hivyo ni kiasi gani kinatakiwa kukusanywa kwa siku na ni kiasi gani kinatumika kwa siku!
 
Mnyika amesema kuwa tatizo ya mapato ya kivuko ni usimamizi mbovu wa pesa zinazokusanywa, kwahiyo yeye anaamini kuwa hata ile sh.100 intosha kuendesha kivuko kinachotakiwa ni kudhibiti ufisadi ktk kivuko. Kwa hapo yuko right maana serikali ya ccm ni bingwa wa kupandisha ushuru na kodi huku mapato mengi yakipotea kwa ufisadi. Magufuli angehakikisha kwanza ukusanyaji wa pesa kivukoni unasimamiwa kikamilifu baada ya hapo ndo ajue kama unatakiwa kuongeza au la. Hii tabia sio ngeni ya watu kukusanya mapato na kuyaweka mfukoni na hapo ndio ubovu mkubwa wa serikali ya ccm ulipo, dawa sio kuongeza ushuru swala ni kuhakikisha pesa zinazokusanywa zinakwenda mahali pake halafu ndo tuongeze ikihitajika. Lakini sio kufanya kazi ya kupandisha ushuru bila kutoa maelezo kivuko kinavusha watu na vitu vingapi kwa siku na hivyo ni kiasi gani kinatakiwa kukusanywa kwa siku na ni kiasi gani kinatumika kwa siku!

Tatizo ndio lipo hapo; kwanini wabunge walisahau kuhoji hayo wakati kamati ile inawasilisha ripoti yake bungeni na wakaridhika tu na takwimu za milioni tisa mapato kwa siku na milioni 5 surplus kwa mwezi?
 
hujakosea kujiita mchambuzi. Lakini magufuli alitumia muda kiasi gani kutoa elimu kama uliyoitoa hapo? Au ndio yale ya kupandikiza sheria kila anapoona mwanya?
Alitumia muda huo bungeni kuwaeleza wabunge sasa kama wewe unataka kujua zaidi kwa nini usizipate kwanza nyaraka zinazoeleza kwa nini nauli zimepanda kwa kiasi hicho badala yake mnapinga bila hata kujua?..Kote mnalipa Tsh 300 tena ikifika jioni inapanda hadi Tsh 500 Mwenye wanatoza hadi Tsh 1000 asubuhi na jioni rush hours hamlalamiki na wala wabunge hawa hawaonekani kuwasaidia wananchi wafanyakazi wanaoliwa kila siku ya Mungu.. Kosa ni pale Magufuli katangaza nauli mpya! kosa ni pale Magufuli kasema kuvunja nyumba maeneo ambayo hayajapimwa, Kosa ni pale Magufuli amesema....

Majuzi tu Magufuli alitaka kuingia kazini kuvunja vunja, JK akamkataza na kumwambia asifanye hivyo na watu mkafurahia sana, mara mafuriko Ya jangwani na Kigogo yametokea mnarudi tena kuwasema wale wale mlowatetea jana kuwa wamejitakia. Na hata JK kusema asiyesikia la mkuu huvunjika guu... Huyu huyu rais aliyemkataza Magufuli asichukue hatua za kisheria kwa kuwasikilizia machungu ya watu ambao hawakufuata sheria..Kama mnamwona Magufuli hafai kwa nini mnampa nafasi hizi kuongoza!

Jamani tuwe wakweli na nafsi zetu, Magufuli hana makosa maadam aliwakilisha swala hili ktk vitengo vinavyotakiwa na akapewa go ahead leo mnamwona mbaya yeye ni dhahiri kuna watu wanataka kumchafua Magufuli kisiasa na wamekuwa ktk kazi hiyo kwa muda mrefu sana.. Kama tatizo ni nauli za guta lizungumziwe na zipo taratibu zake lakini sio kupinga kila kitu.. Na wabunge hawa wanajua vizuri wanatakiwa kufanya nini kuwapunguzia makali wananchi na sii wakazi wa Kigamboni tu nchi nzima maisha yamepanda sana..na sii kutafuta umaarufu wakati bungeni hawapingi..
 
Mnyika yuko wapi aje kujibu hoja. Jamani uongozi sio kutoa matamko tu, jibuni hoja zinazowahusu.
 
magufuli kuzomewwa ni halali yake, ajifunze kutamka kitu katika wakati muafaka, mbona alipoambiwa asibomoe tanesxo alikuwa mdogo pamoja na kudai anafata sheria?? leo hii kurudisha bei ya kivuko anatoa kauli kama zile za dharau kwa wananchi??...wabunge wetu wengi kwa sasa inawawia vigumu kuikemea vikali serikali kuhusu fedha kutokana na wao kutotoa kauli yeyote kuhusu posho mpya
 
This is the kind of criticism we want. Those mentioned in this analysis should take it as a lesson and they should learn. Mchambuzi, this is very great.Big Up!
 
Angewaambia waenda kwa daladala kama huna nauli tembea kwa mguu asingekuwa dharau, lakini kupiga mbizi imekuwa dharau. Na leo serikali ikisema imeshindwa kuendesha kivuko. Watu watafanya nini?

Hivi ni wajibu wa serikali kuwasafirisha watu wa kigamboni? kama ni hivyo basi serikali hii ina ubaguzi wa hali ya juu sana. Maana kule kwetu sijaona usafiri wa serikali, tena mtu akiuugua wanamchukua kwa machela na maanisha machela ya miti miwili na fito, harafu wanatembea kilomita zisizopungua 30 kuifikia hispotali.

Sasa nauliza, hili la kigamboni ni wajibu wa nani ku make shua anafika eneo lake aliloamua kuishi. Mhhh
 
Hapa ndio mnapokosea....Magufuli alitoa kauli ile baada ya kuzomewa! hakuna anayesema wananchi waombe msamaha kwa kuzomea.......
Ukiwa kiongozi huts kiwi Kuwait Kama umaowaongoza....

Magufuli lazing adobe msamaha kwa kashiwa kushinda ego yake.... Ingawa Naugatuck mono kuongezeka kwa nauli
 
.... lakini hastahili kubadilisha msimamo juu ya ongezeko la nauli, kwani uamuzi wake ni sahihi.

Inawezekana uamuzi wake wa kupandisha nauli ni sahihi au sio sahihi lakini swali langu ni kwa nini serikali haijawahi kupandisha nauli ya feri kwa miaka 14 iliyopita? Kwa nini sasa? Ni msukumo gani umeifanya serikali kupandisha nauli ya feri ghafla bila taarifa kwa wadau? Je, huu msukumo haukuwepo miaka 14 iliypopita?

Magufuli anadai mishahara imepanda, n.k, lakini hiyo mishahara imeanza kupanda mwaka huu? Weka siasa pembeni, what exactly is the reason ya kupandisha nauli? Tusiseme tuu uamuzi wake uko sahihi, but let's dig more into his decision. Why 2012 na sio miaka 14 iliyopita?
 
Alitumia muda huo bungeni kuwaeleza wabunge sasa kama wewe unataka kujua zaidi kwa nini usizipate kwanza nyaraka zinazoeleza kwa nini nauli zimepanda kwa kiasi hicho badala yake mnapinga bila hata kujua?..Kote mnalipa Tsh 300 tena ikifika jioni inapanda hadi Tsh 500 Mwenye wanatoza hadi Tsh 1000 asubuhi na jioni rush hours hamlalamiki na wala wabunge hawa hawaonekani kuwasaidia wananchi wafanyakazi wanaoliwa kila siku ya Mungu.. Kosa ni pale Magufuli katangaza nauli mpya! kosa ni pale Magufuli kasema kuvunja nyumba maeneo ambayo hayajapimwa, Kosa ni pale Magufuli amesema....

Majuzi tu Magufuli alitaka kuingia kazini kuvunja vunja, JK akamkataza na kumwambia asifanye hivyo na watu mkafurahia sana, mara mafuriko Ya jangwani na Kigogo yametokea mnarudi tena kuwasema wale wale mlowatetea jana kuwa wamejitakia. Na hata JK kusema asiyesikia la mkuu huvunjika guu... Huyu huyu rais aliyemkataza Magufuli asichukue hatua za kisheria kwa kuwasikilizia machungu ya watu ambao hawakufuata sheria..Kama mnamwona Magufuli hafai kwa nini mnampa nafasi hizi kuongoza!

Jamani tuwe wakweli na nafsi zetu, Magufuli hana makosa maadam aliwakilisha swala hili ktk vitengo vinavyotakiwa na akapewa go ahead leo mnamwona mbaya yeye ni dhahiri kuna watu wanataka kumchafua Magufuli kisiasa na wamekuwa ktk kazi hiyo kwa muda mrefu sana.. Kama tatizo ni nauli za guta lizungumziwe na zipo taratibu zake lakini sio kupinga kila kitu.. Na wabunge hawa wanajua vizuri wanatakiwa kufanya nini kuwapunguzia makali wananchi na sii wakazi wa Kigamboni tu nchi nzima maisha yamepanda sana..na sii kutafuta umaarufu wakati bungeni hawapingi..

magufuli kama mtendaji hatuna shida nae. He must learn one thing-to swallow his pride mbele ya wananchi. Ni kweli anatekeleza yale yaliyo ndani ya ilani na sera. Cha msingi ayatekeleze kwa adabu. Wananchi sio watoto wake hadi amri zisizo na mashiko mbele ya watu wanaosubiri tumaini fulani. Na ni kwa nini akurupuke kupandisha hivi viwango kwa ghafla hivi. Kwa kipindi cha miaka 14 hakuwahi kuona kuna haja ya kupandisha nauli? Hoja ya nauli kupanda naikubali ila si kupitia kwa magufuli. Tatizo la magufuli hana karama ya ushawishi hata kama ni lazima kutekeleza jambo lenyewe.
 
Inawezekana uamuzi wake wa kupandisha nauli ni sahihi au sio sahihi lakini swali langu ni kwa nini serikali haijawahi kupandisha nauli ya feri kwa miaka 14 iliyopita? Kwa nini sasa? Ni msukumo gani umeifanya serikali kupandisha nauli ya feri ghafla bila taarifa kwa wadau? Je, huu msukumo haukuwepo miaka 14 iliypopita?

Magufuli anadai mishahara imepanda, n.k, lakini hiyo mishahara imeanza kupanda mwaka huu? Weka siasa pembeni, what exactly is the reason ya kupandisha nauli? Tusiseme tuu uamuzi wake uko sahihi, but let's dig more into his decision. Why 2012 na sio miaka 14 iliyopita?

Ndio watueleze sasa, kwa kuanzia na taarifa ya ile kamati iliyoundwa kwa ajili hiyo, ambayo ripoti yake haikuwa scrtutinized, pengine kwa sababu ilikuwa sahihi, hatuji, lakini ndio imezaa haya ya leo ya kupanda kwa nauli, na kwa vigezo vya ongezeko hilo, logic ipo wazi.
 
Iwapo hoja hii ni sensitive kwa baadhi ya watu humu, wale wote wenye mtazamo huo, mngeshauriana na MODs ili waifute hii thread, kama ambavyo huwa inatokea nyakati fulani fulani.

Kwa nini ni sensitive? Wewe ndio umeifanya hoja iwe sensitive kwa kuwa sensitive kwa wabunge wa CCM. Othwerise, kitendo chako cha kula sahani moja na Mnyika tuu kuanzia kwenye heading mpaka kwenye uzi wenyewe ni kama vile una-justify kile kinachosemwa na Chadema kuwa mbunge mmoja wa Chadema ni sawa na wabunge 20 wa CCM. Hivi kama kungekuwa hakuna mbunge yoyote wa Chadema Dar Es Salaam, bado ungeandika hayo uliyoandika? If so, heading ya thread ingekuwaje?
 
Ndio watueleze sasa, kwa kuanzia na taarifa ya ile kamati iliyoundwa kwa ajili hiyo, ambayo ripoti yake haikuwa scrtutinized, pengine kwa sababu ilikuwa sahihi, hatuji, lakini ndio imezaa haya ya leo ya kupanda kwa nauli, na kwa vigezo vya ongezeko hilo, logic ipo wazi.

Uishawahi kuisoma hiyo ripoti? Kama unayo tafadhali naomba nakala.
 
heading yako kwanini isiwe nauli feri: Mtemvu, hata wewe? Au nauli feri: Ndungulile, hata wewe? Au nauli feri: Zungu, hata wewe? Au nauli feri: Wabunge, hata nyie?, ,

hata magufuli naye alipoongea na waandishi wa habari, alisema anamshangaa sana mnyika as if mnyika alikuwa peke yake kwenye hiyo hoja.
 
Toka Magufuli atoe kauli nimekuwa kimya kumjibu nikiendelea na majukumu mengine jimboni na ya kitaifa. Magufuli hakujibu hoja, na badala yake ametoa kauli zisizokuwa na ukweli wowote dhidi yangu, kauli potofu zikiachwa zitaonekana milele kuwa sahahi. Kwa hiyo nimeamua kesho nizungumze na wanahabari kuweka msimamo wangu wazi ili kuweka rekodi muafaka: Mosi, nitajibu hoja kwa hoja, kwa masuala yote aliyoyasema dhidi yangu. Pili, nitaweka bayana kwanini nimeunga mkono kwa GN ihairishwe kutekelezwa, hoja za msingi zijibiwe na mabadiliko muhimu yafanyike.

JJ
 
Mchambuzi,

Asante kwa maoni yako, hoja zako ni nzuri kwa kuchochea mjadala ingawaje hauko sahahi katika maeneo kadhaa kama ambavyo nitakuja kueleza baada ya kwanza kujibu kauli za Magufuli hoja kwa hoja.

JJ
 
Back
Top Bottom