Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,668
- 40,916
Wana JF wenzangu...leo nimeamka naugua gonjwa hili baya la UDHAIFU, UFISADI, UBINAFSI, USHIRIKINA, UONGO,KUJIPENDEKEZA, WIZI, UTAPELI,MUUNGANO,KATIBA, UAMSHO, UKOSEFU WA AJIRA, MAJI, BARABARA, SHULE , HOSPITALI, MFUMUKO WA BEI na NYUMBA NDOGO NYINGI na mengine mengi sana, ugonjwa huu umetapakaa kama kansa katika sehemu zangu muhimu za mwili wangu ziitwazo Tanganyika na Zanzibar..nimejaribu tiba nyingi tu..kama vile DOZI ya vyama vingi vya siasa..nilianza na NCCR, ikapotea..ikaja CUF , imeolewa...ikaja CDM wameanza kutukana...jamani nifanye nini mimi..nahitaji tiba mbadala haraka iwezekanavyo..nisaidieni ndugu zanguni wana JF...kwa wale wenye nia njema na afya yangu..UDHAIFU UMENIKUMBA...