Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
nywele sio natural.....
acha uoga ww au yuko mbioni kukupa.......catalog hizi zinaongoza kuwa na rangi zaidi ya moja mwilini pia nywele asili muhimu vipi kama kafunika mapunye........ushauri amsha sepa coz umri wake ukisogea sana ataonekana kama hana meno upo hapo!!nywele ni kitu kidogo madam. issue hapo ni kwamba yuko na uasili wa uafrika wake. hapo hakuna hata chembe ya mkorogo
Hujui maana ya nature wewe
Afrika asili yetu si ni nywele za kipili pili? iweje yeye ivyonywele ni kitu kidogo madam. issue hapo ni kwamba yuko na uasili wa uafrika wake. hapo hakuna hata chembe ya mkorogo
Anaitwa nani na anakaa wapi?
nywele sio natural.....
mbune itakuwa natural? usiangalie sura, angalia machine....sura kwani utaingiza kwenye uso? ndo maana utakuwa mdada ana sure ambayaaaa, lakini watu wamemganda, machine ndio inamata.
Mashine imekuwa over used. Hapo ni uso tu, chini hakuna kitu.