Habari zenu wakuul ?eo ni mara ya pili nimepata offer ya shilingi erlfu kumi toka airtel kwenye intert,mara ya kwanza nilipata lakini nikashangaa kifurishi nilicholipa kilipoisha ikakata na leo keshatahadharisha muda wa kifurishi unaisha wakati offer ya elfu kumi bado sijaitumia.Je nasubscribe vipi ili niitumie hiyo offer please anaejua naomba mwongozo.