alexmahone
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 482
- 405
Msaada tafadhali
Nimekuwa na tatizo la kutokwa na mapele mashavuni.Hali hii ilianza pindi nilipoanza kuota ndevu.,Ila haijalishi ninyoe kwa mkasi,kwa wembe mpya,kwa mashine,kwa magic powder na hata nisiponyoa ndevu huwa yananitoka tu.Nikiyakamua yanatoa usaha kidogo na damu nyingi,then vinabaki vidonda.
Nimejaribu kutumia sabuni mbalimbali.,safi cream,majani ya aloevera na nimekunywa maji yake.Nilishawah kuonana na daktari anaehusika na ngozi akanichoma sindano maeneo hayo yenye mapele,sifaham ni dawa gani aliniwekea lakini bado yanaendelea.
Dawa zote hizo nimetumia kwa nyakati tofauti.
Kwa wengi wanaoniona huwa wananishauri nisitumie wembe,nawaitikia kwakuwa najua nishajaribu yote na hakuna tofauti.
Nilishapima HIV nikidhani yawezakuwa ni mwanzo,lkn sina.Nimefikiri pengine ni allegy ila napata taabu kutambua ni nn kinanidhuru.Natamani nigoogle lakini sijui niandike nini kwny headline.
Mwisho nimeamua kuja hapa jamvini..
Nawasilisha..
Nimekuwa na tatizo la kutokwa na mapele mashavuni.Hali hii ilianza pindi nilipoanza kuota ndevu.,Ila haijalishi ninyoe kwa mkasi,kwa wembe mpya,kwa mashine,kwa magic powder na hata nisiponyoa ndevu huwa yananitoka tu.Nikiyakamua yanatoa usaha kidogo na damu nyingi,then vinabaki vidonda.
Nimejaribu kutumia sabuni mbalimbali.,safi cream,majani ya aloevera na nimekunywa maji yake.Nilishawah kuonana na daktari anaehusika na ngozi akanichoma sindano maeneo hayo yenye mapele,sifaham ni dawa gani aliniwekea lakini bado yanaendelea.
Dawa zote hizo nimetumia kwa nyakati tofauti.
Kwa wengi wanaoniona huwa wananishauri nisitumie wembe,nawaitikia kwakuwa najua nishajaribu yote na hakuna tofauti.
Nilishapima HIV nikidhani yawezakuwa ni mwanzo,lkn sina.Nimefikiri pengine ni allegy ila napata taabu kutambua ni nn kinanidhuru.Natamani nigoogle lakini sijui niandike nini kwny headline.
Mwisho nimeamua kuja hapa jamvini..
Nawasilisha..