hahahhahhha wiki tu unakimbilia natoa....je ingekuwa mwezi si ungebaka kuku!Lile toto si limeenda Moshi kusalimia inakaribia wiki.
hahahhahhha wiki tu unakimbilia natoa....je ingekuwa mwezi si ungebaka kuku!Lile toto si limeenda Moshi kusalimia inakaribia wiki.
Nakwambia Sangara, lzm nitoee, maana nishatishiwa hata kupata BAN. Natoa
Bwahahhahaaaaahahhaaaaa:dance:hebu acha usitoe na ukipigwa ban mie nitakuwa wa kwanza kuandamana....
Mwezi ? mi hata siku zile za 'moon' naona nyingi hahaha! asikwambie mtu ule mchezo balaa stress zote potea asubuhi unachekacheka kazini.hahahhahhha wiki tu unakimbilia natoa....je ingekuwa mwezi si ungebaka kuku!
hahahhahahahahah mchezo gani huo ili nami nichekecheke kazini!Mwezi ? mi hata siku zile za 'moon' naona nyingi hahaha! asikwambie mtu ule mchezo balaa stress zote potea asubuhi unachekacheka kazini.
kuusikia tu umeshaanza kucheka,usijali ukame ukizidi ntakufata hukohuko Kariakoo sijui mwananyamala nawe ucheke kazini lol!hahahhahahahahah mchezo gani huo ili nami nichekecheke kazini!
hahahahahhah kumbe kucheka kwenyewe kama huku....mwananyamala utakula roba ya mbao unenge wote uishe,huku tuachie wenyewe!kuusikia tu umeshaanza kucheka,usijali ukame ukizidi ntakufata hukohuko Kariakoo sijui mwananyamala nawe ucheke kazini lol!
Swagga za uswaz nazifahamu unavua shati na kuliweka begani wanajua we ni wa mtaa wa pili hahaha!hahahahahhah kumbe kucheka kwenyewe kama huku....mwananyamala utakula roba ya mbao unenge wote uishe,huku tuachie wenyewe!
hahahahahahhahahaha tunajuana hata ukiiga swaga tunajua siwetu huyu!Swagga za uswaz nazifahamu unavua shati na kuliweka begani wanajua we ni wa mtaa wa pili hahaha!
toa tu uchafu huo....unamuonesha nani mstari wa ikweta?Ndiyo ni kweli natoa!!
Natoa avatar yangu kuanzia kesho maana naona vijino pembe wamezidi kuniandama na kunitumia pm nyingi sana. Pia naona akina Speaker, Okada, Asprini na wengine wananisakama kwamba nitoe vile haiendani na maadili. Kwa hiyo jamani mnivumilie kidogo, Kesho nitatoa.
Nawasilisha
Nimepita hivyo Tandale kwahiyo Mwananyamala cha mtoto tu,kuna majita wa Temeke ndie alitufundisha staili hii miaka ileee na kutuonesha inafanya kazi akatutembeza magomeni mpaka faya saa 7 usiku roho zinadunda watoto wa uzunguni lol!hahahahahahhahahaha tunajuana hata ukiiga swaga tunajua siwetu huyu!
acha uongo wewe si useme tu kuwa kuna msaaada wa mchina hapo........ umeumbika eti weka sura basi tuone kama inauhusiano na mchina huyo wa ma......kalioKaka unitake radhi tafadhali,, nani kasema hii ni biashala? Na hilo swali lingine nimeshalijibu zaidi ya mara 100 hapa. Hiyo si avatar tu bali ni mimi mwemyewe. Kwanini niweke ya mwingine wakti Allah ameniumba nikaumbika? Najiamini sana kwa taalifa yako
Kwani umelazimishwa kuamini ? sura yake unataka kumuoa ?acha uongo wewe si useme tu kuwa kuna msaaada wa mchina hapo........ umeumbika eti weka sura basi tuone kama inauhusiano na mchina huyo wa ma......kalio
Asee mpwa.....hebu elezea vizuri hapo, ukitaka kuoa lazima sura iwe nzuri?Kwani umelazimishwa kuamini ? sura yake unataka kumuoa ?
Reception isipokuwa nzuri hata kama umependa dada zako wataweka 'X'.Asee mpwa.....hebu elezea vizuri hapo, ukitaka kuoa lazima sura iwe nzuri?
Asee!!!!
hata mie mwenzangu, nikajisemea kulikoni tena, wenzake tunahamia airtel
Hivi huyo ni mnene au ana makalio manene au ana makalio makubwa?
Hivi hayo hayawezi kusababbisha Kisukari na mapresha presha hivi??!!!
Sikujua mnawaogopa
Watu humu JF ..
Da hhhhh poleni sana