Malingumu
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 616
- 429
Wiki chache zilizopita nilirusha thread ya kuomba msaada wa ada ambayo ilipelea chuoni na kukwama kabisa kuipata. Katika kuhangaika kwangu niliona ni bora nije hapa JF kuomba msaada nikibahatisha tu bila kuwa na hakika kuwa nitapata.
Kwa ufupi ni kuwa nilipata baadhi ya members walioahidi kunisaidia. Dada AshaDii alinisaidia kuweza kukusanya hicho kiwango cha pesa toka kwa members wengine wa JF na kunilipia ada na kunikabidhi kiasi kidogo kilichobaki, baada ya kutuma vithibitisho vilivyotakiwa. Mungu awabariki wote.
Asanteni sana.
Kwa ufupi ni kuwa nilipata baadhi ya members walioahidi kunisaidia. Dada AshaDii alinisaidia kuweza kukusanya hicho kiwango cha pesa toka kwa members wengine wa JF na kunilipia ada na kunikabidhi kiasi kidogo kilichobaki, baada ya kutuma vithibitisho vilivyotakiwa. Mungu awabariki wote.
Asanteni sana.
Last edited by a moderator: