Natoa SHUKRANI zangu kwa wana JamiiForums - Asanteni

Malingumu

JF-Expert Member
Apr 5, 2012
616
429
Wiki chache zilizopita nilirusha thread ya kuomba msaada wa ada ambayo ilipelea chuoni na kukwama kabisa kuipata. Katika kuhangaika kwangu niliona ni bora nije hapa JF kuomba msaada nikibahatisha tu bila kuwa na hakika kuwa nitapata.

Kwa ufupi ni kuwa nilipata baadhi ya members walioahidi kunisaidia. Dada AshaDii alinisaidia kuweza kukusanya hicho kiwango cha pesa toka kwa members wengine wa JF na kunilipia ada na kunikabidhi kiasi kidogo kilichobaki, baada ya kutuma vithibitisho vilivyotakiwa. Mungu awabariki wote.

Asanteni sana.
 
Last edited by a moderator:
Msinitenge,

Kwa upande wangu shukrani zako zimepokelewa na ni furaha kwangu kuwa azma niliyolenga imefanikiwa. Ilikuwa tu bahati kuwa niliona na kuguswa ingawa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kukusaidia independently (else ingeendelea kubaki anonymous).

Niliamini nikisharikisha members wachache wachangie kila mmoja kiasi kidogo litafanikiwa. Ila pia naomba utambue kuwa waliowezesha hilo zoezi na kutoa pesa ni Maxence Melo (kwa mchango wake wa kuliangalia swala kwa umakini hasa kwa vithibitisho na validity la tatizo lako pamoja na kuruhusu hili hapa JF na kwa mchango wake pia), Mike McKee (ndiye alipokea pesa moja kwa moja na kulipia pamoja na kutuma hiyo balance na kuongeza mchango wake pia).

Fellow members waliochanga moja kwa moja Bishanga, Zion Daughter, Kaunga, Ritz, Ndahani, Mamndenyi, Mentor, Consigliere na Manumbu

Mwenyezi Mungu akuwekee wepesi katika masomo na maisha yako pia. Na akujalie uwe na uwezo na roho huko mbele ya kuweza kusaidia wale ambao watahitaji msaada kwako pia.

Pamoja Saana,

AshaDii.
 
Last edited by a moderator:
Msinitenge,

Kwa upande wangu shukrani zako zimepokelewa na ni furaha kwangu kuwa azma niliyolenga imefanikiwa. Ilikuwa tu bahati kuwa niliona na kuguswa ingawa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kukusaidia independently (else ingeendelea kubaki anonymous).

Niliamini nikisharikisha members wachache wachangie kila mmoja kiasi kidogo litafanikiwa. Ila pia naomba utambue kuwa waliowezesha hilo zoezi na kutoa pesa ni Maxence Melo (kwa mchango wake wa kuliangalia swala kwa umakini hasa kwa vithibitisho na validity la tatizo lako pamoja na kuruhusu hili hapa JF na kwa mchango wake pia), Mike McKee (ndiye alipokea pesa moja kwa moja na kulipia pamoja na kutuma hiyo balance na kuongeza mchango wake pia).

Fellow members waliochanga moja kwa moja Bishanga, Zion Daughter, Kaunga, Ritz, Ndahani, Mamndenyi, Mentor, Consigliere na Manumbu

Mwenyezi Mungu akuwekee wepesi katika masomo na maisha yako pia. Na akujalie uwe na uwezo na roho huko mbele ya kuweza kusaidia wale ambao watahitaji msaada kwako pia.

Pamoja Saana,

AshaDii.

Mungu Awazidishie pale mlipopunguza.Nawashukuruni sana.
 
Last edited by a moderator:
Msinitenge,

Kwa upande wangu shukrani zako zimepokelewa na ni furaha kwangu kuwa azma niliyolenga imefanikiwa. Ilikuwa tu bahati kuwa niliona na kuguswa ingawa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kukusaidia independently (else ingeendelea kubaki anonymous).

Niliamini nikisharikisha members wachache wachangie kila mmoja kiasi kidogo litafanikiwa. Ila pia naomba utambue kuwa waliowezesha hilo zoezi na kutoa pesa ni Maxence Melo (kwa mchango wake wa kuliangalia swala kwa umakini hasa kwa vithibitisho na validity la tatizo lako pamoja na kuruhusu hili hapa JF na kwa mchango wake pia), Mike McKee (ndiye alipokea pesa moja kwa moja na kulipia pamoja na kutuma hiyo balance na kuongeza mchango wake pia).

Fellow members waliochanga moja kwa moja Bishanga, Zion Daughter, Kaunga, Ritz, Ndahani, Mamndenyi, Mentor, Consigliere na Manumbu

Mwenyezi Mungu akuwekee wepesi katika masomo na maisha yako pia. Na akujalie uwe na uwezo na roho huko mbele ya kuweza kusaidia wale ambao watahitaji msaada kwako pia.

Pamoja Saana,

AshaDii.

Mungu awabariki sana,..nimeguswa na kushangaa sana kuona hata Ritz naye ana moyo wa huruma na kusaidia wengine....Mungu awazidishie wakuu
 
Ashadii, ungetuuliza kwanza kabla hutajulist out. baadhi yetu hatupendi kusaidia mtu na kufanya iwe known kuwa tumesaidia. tungependa kutoa kwa mkono wa kulia bila ya mkono wa kushoto kuona/kujua, if you know what i mean.

Msinitenge, please kazana na shule na usome kama umetumwa na kijiji kama sie tulivyosoma enzi hizo!


Msinitenge,

Kwa upande wangu shukrani zako zimepokelewa na ni furaha kwangu kuwa azma niliyolenga imefanikiwa. Ilikuwa tu bahati kuwa niliona na kuguswa ingawa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kukusaidia independently (else ingeendelea kubaki anonymous).

Niliamini nikisharikisha members wachache wachangie kila mmoja kiasi kidogo litafanikiwa. Ila pia naomba utambue kuwa waliowezesha hilo zoezi na kutoa pesa ni Maxence Melo (kwa mchango wake wa kuliangalia swala kwa umakini hasa kwa vithibitisho na validity la tatizo lako pamoja na kuruhusu hili hapa JF na kwa mchango wake pia), Mike McKee (ndiye alipokea pesa moja kwa moja na kulipia pamoja na kutuma hiyo balance na kuongeza mchango wake pia).

Fellow members waliochanga moja kwa moja Bishanga, Zion Daughter, Kaunga, Ritz, Ndahani, Mamndenyi, Mentor, Consigliere na Manumbu

Mwenyezi Mungu akuwekee wepesi katika masomo na maisha yako pia. Na akujalie uwe na uwezo na roho huko mbele ya kuweza kusaidia wale ambao watahitaji msaada kwako pia.

Pamoja Saana,

AshaDii.
 
hii ndio JF ahsanteni kwa mliyofanya jamani this is more than facebook watu huamini hata watu wasioowaona this is nice Mungu awazidishie

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ashadii, ungetuuliza kwanza kabla hutajulist out. baadhi yetu hatupendi kusaidia mtu na kufanya iwe known kuwa tumesaidia. tungependa kutoa kwa mkono wa kulia bila ya mkono wa kushoto kuona/kujua, if you know what i mean.

Msinitenge, please kazana na shule na usome kama umetumwa na kijiji kama sie tulivyosoma enzi hizo!

Nimeipenda hii!
 
Mungu awabariki sana,..nimeguswa na kushangaa sana kuona hata Ritz naye ana moyo wa huruma na kusaidia wengine....Mungu awazidishie wakuu


IGWE hivi unadhani kuwa watu ambavo wanarespond jamvini na maisha ya kawaida ni hivo? Kwa kiasi kikubwa nadhani hapana... So far mie kwa mtazamo wangu Ritz ni moja ya members very understanding in matters ambazo ni nje ya siasa. Nashukuru kwa dua yako... Mwenyezi Mungu atubariki na kutuzidishia sote...
 
Ashadii, ungetuuliza kwanza kabla hutajulist out. baadhi yetu hatupendi kusaidia mtu na kufanya iwe known kuwa tumesaidia. tungependa kutoa kwa mkono wa kulia bila ya mkono wa kushoto kuona/kujua, if you know what i mean.

Msinitenge, please kazana na shule na usome kama umetumwa na kijiji kama sie tulivyosoma enzi hizo!

Hata Ritz atakuwa hajapenda kuwa exposed
 
Ashadii, ungetuuliza kwanza kabla hutajulist out. baadhi yetu hatupendi kusaidia mtu na kufanya iwe known kuwa tumesaidia. tungependa kutoa kwa mkono wa kulia bila ya mkono wa kushoto kuona/kujua, if you know what i mean.

Msinitenge, please kazana na shule na usome kama umetumwa na kijiji kama sie tulivyosoma enzi hizo!


Manumbu,

Naomba nikiri kosa na kuomba samahani kwako na kwa yeyote katika hio list ambae nitakuwa nimemkwaza. Kama umenisoma hapo nimegusia kuwa kama ningekuwa na uwezo wa kumsaidia mwenyewe ilitakiwa hata isiwekwe hapa na iwe anonymous kama ilivyo mara moja moja itokeapo issue za kufanania kujitoa iwezekanapo. Yeye Msinitenge hakuelewa ni akina nani wamemsaidia, alivyorusha hii thread nikaona ni nafasi tosha kumjulisha kuwa ni akina nani pia walihusika.

Tokana na kwamba kiwango kilikuwa kikubwa (kwa uwezo wangu) ilinibidi nishirikishe. Mambo ya pesa ni magumu na kuna utapeli mkubwa sana, kuwataja ilikuwa kuwajulisha kuwa swala lishafanikishwa na pia nyie kutambua kuwa mlengwa kapokea na kushukuru.

Nikiri kuwa nilifikiria kuwaomba consent, ila nikaona tokana na mpishano wa mda inaweza chukua masaa 24 kupata majibu toka kwa wote maana wote hapa mawasiliano ni kwa PM. I would have appreciated ungeni warn mapema... I really hope umenielewa na kwamba sikulenga vibaya. Samahani sana.
 
Last edited by a moderator:
Najiona kama vile mlinitenga. Mngetuambia na sisi wengine tutoe mchango wetu kwani hizi ni baraka za pekee ambazo tungezipata kutoka kwa Mungu.


Sangari naomba niwe wazi kuwa sababu sikuwahi ona thread kama hii JF na kwa sababu instict zangu zilinisukuma kuwa ni genuine ndio maana nilifanya hivo. Matapeli wengi sana, kama ikiwa wazi na kuwa entertained kuwa ukiwa na shida ukaitangaza JF utasaidiwa, italeta usumbufu mkubwa na mtiririko wa mabandiko ya shida mbali mbali za members (kumbuka tupo kila aina ya watu hapa... Na matapeli tupo humu humu).

Hivo tambua kuwa hukutengwa, na kiwango kilikuwa ni kiasi ambacho kikichangiwa na watu wachache kingetosha, kulikuwa hakuna haja ya kuhusisha members wote... I hope umenielewa... Pamoja saana.
 
Msinitenge,

Kwa upande wangu shukrani zako zimepokelewa na ni furaha kwangu kuwa azma niliyolenga imefanikiwa. Ilikuwa tu bahati kuwa niliona na kuguswa ingawa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kukusaidia independently (else ingeendelea kubaki anonymous).

Niliamini nikisharikisha members wachache wachangie kila mmoja kiasi kidogo litafanikiwa. Ila pia naomba utambue kuwa waliowezesha hilo zoezi na kutoa pesa ni Maxence Melo (kwa mchango wake wa kuliangalia swala kwa umakini hasa kwa vithibitisho na validity la tatizo lako pamoja na kuruhusu hili hapa JF na kwa mchango wake pia), Mike McKee (ndiye alipokea pesa moja kwa moja na kulipia pamoja na kutuma hiyo balance na kuongeza mchango wake pia).

Fellow members waliochanga moja kwa moja Bishanga, Zion Daughter, Kaunga, Ritz, Ndahani, Mamndenyi, Mentor, Consigliere na Manumbu

Mwenyezi Mungu akuwekee wepesi katika masomo na maisha yako pia. Na akujalie uwe na uwezo na roho huko mbele ya kuweza kusaidia wale ambao watahitaji msaada kwako pia.

Pamoja Saana,

AshaDii.

ashadii nakupongeza sana kwa kuratibu shughuli hii ambayo imemuwezesha huyu kijana kuendelea na masomo, jamani jf sasa naiona km ni zaidi ya mtandao ila sasa member wake wamekuwa km familia moja ingawa huwa tunakuwa na maoni tofauti tofauti kuhusiana na hoja mbalimbali ila kwenye maswala muhim km hili huwa tunashirikiana, maswala ya msiba huwa tunafarijiana na masuala ya furaha huwa tunafurahi pamoja. Mungu ibaliki familia ya jf
 
Last edited by a moderator:
binafsi natoa na shukurani za dhati kwa AHADIi na kwa wote waliomsaidia Msinitenge. kaka
Manumbu nafikiri umemsoma AshaDii vyema hajakuweka hapa ili kuku expose ama niseme kukukuza la hasha, kwa niaba ya wana jf wote watakao soma huu uzi nakuomba samahan kama utakwazika na napenda nikuhakikishie hatutakuwa na interest zaid ya uliyokusudia wewe na daima tutakuombea ili uzidi kubarikiwa zaid. kaka Ritz najua nawe utaelewa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom