Natoa shahawa nyingi sana wakati wa tendo la ndoa

Ndiyo umeanza endelea kupiga pupunchi zitapungua zenyewe..!
Sasa kama ulivunja ungo at 18 about 8 years hiyo stock ni kubwa mno..!
 
Wakubwa nawasalimia.

Mimi ni kijana wa kiume, nina miaka 25 bado sijaoa na sitarajii kuoa kwa sasa kwa sababu binafsi. Nikifanya ngono au tendo la ndoa huwa natoa manii nyingi sana kwa mahesabu ya harakaharaka naweza kujaza nusu ya ile condom na huwa natoa haraka nikihofia condom kupasuka.

Huwa naenda ndani ya dakika kumi na tano au zaidi na huwa napiga bao 6-7 baada ya kuchomoa na kuendelea tena na hali ni ile ile. Imefika binti moja aniomba game eti ameambiwa na shogake eti najua kuwafanyia vizuri.

Sasa naona hali hii inanipa shida na mimi sio mtu wa sketi sana. Sasa wadau hii imekaaje kiafya? Maana namwaga manii kama nakojoa jamani.

Naomba ushauri jamani
tafuta bwana kama unaona usumbufu
 
Mihogo,mbata na karanga maeneo mbalimbali ya jiji ni sababu kubwa kwa tatizo hili.
 
unaweza kutoa nyingi yakawa maji un productive hilo nalo na kuangalia

utakuwa wa tofaut cna
 
Kutoa manii nyingi si ndio uwezo wa kuwafanya wanawake vizuri. KWA mwanamke kumkojolea haraka hivyo kabla yeye hajakojoa wanaona kuwa ni kumdhulumu haki yake na kumchafua, anaona ni kama umemgeuza tambara LA kufutia uchafu wako. Mimi nakushauri umwone daktar KWA uchunguzi zaidi, isitoshe huenda ukashindwa kutungisha mimba
 
Back
Top Bottom