CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
teh teh teh teh!!!!!!!!!!!!!!!! kweli mwenye dada hakosi shemeji!!!
Kama kaka ako alivyompata CPU
teh teh teh teh!!!!!!!!!!!!!!!! kweli mwenye dada hakosi shemeji!!!
Dena Amsi,
hebu nikumbushe mama,
hii itakuwa posa ya ngapi sasa?
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza nene kama umetumbukizwa kwenye chupa ya pepsi
duh bahati gani jamani!!!!Jamani wadau nimepanga kutoa posa hivi karibuni kwa binti machachari hapa jamvini na kwa jina ni DENA AMSI. Nawakaribisha woteeee tusherekee natumaini hii itakuwa safari yangu ya mwisho wa kuhangaika! Lini na ni wapi just stay tuned!
Wewe ndiye umenena ukweli, nahisi unamfahamu vyema Dena,jamani umenishindwa mie nisiyevaa kufuli je utamuwezaje yule Dena Amsi anayevaa kufuli, skin tight, bukta, kaptula na baibui juu?
Hata simba anapakatwa we vipi? ni maelewano tuuu!!!
Hakuna ila hueleweki wewe,<br />
<br />
Aliye na pingamizi aseme sasa ama la anyamaze milele
Naona unamuingiza kumi na nane, Kajuni labda awe anataka kujifurahisha nafsi yake vinginevyo ni...... DA atamalizia.<br />
<br />
Jamani mbona hivo
Wewe ndiye umenena ukweli, nahisi unamfahamu vyema Dena,
Jipe moyo lakini utasikia puuuuuuu, huna wa kukusaidia.
Hakuna ila hueleweki wewe,
Naona unamuingiza kumi na nane, Kajuni labda awe anataka kujifurahisha nafsi yake vinginevyo ni...... DA atamalizia.
Tupo wengi tu, lakini kusema ukweli nako ni gharama.Mwanga mwingine huyu...............................................
Tupo wengi tu, lakini kusema ukweli nako ni gharama.
Kumbe huna wivu sana eehhh sante
Huyu Kajuni hajui kwamba DA hatongozeki kwa sredi
CPU jamani sie tumeisha ongea chumbani na sasa tumeamua kuweka mambo hadharani! au mnataka tufanye kimya kimya?
Ngoja uje chezea mingumi ya pua, hujui mwenzio keshawahiwa?Jamani wadau nimepanga kutoa posa hivi karibuni kwa binti machachari hapa jamvini na kwa jina ni DENA AMSI. Nawakaribisha woteeee tusherekee natumaini hii itakuwa safari yangu ya mwisho wa kuhangaika! Lini na ni wapi just stay tuned!