Hahahahaaa Young_Master unanitisha eeehNa ole wako nikukute na mke wangu cacico ndipo utakaponitambua.
hapana haja ya mlinzi, kwa kuwa tiba yahitajika! haya zamisha yote kikubwa tiba kha! mkimaliza niDIPU! LOLsasa ushakuwa na hofu hivyo NITAOGOPA HATA KUTOA DAWA YENYEWE. but huyo si shemeji yangu? so nitacheza kwa step au mletee mlinzi
Hahahahaaa Young_Master unanitisha eeeh
try another line, this is quiet occupied! lol! sorry!Sasa cacico mida gani tommorow!
Kaizer huyu atakuwepo ili kuhakikisha kuwa Young_Master hafaidi bali anatibiwa tu.
try another line, this is quiet occupied! lol! sorry!
eti umesemaaaa? abeeeeeee? kha!Wivu lazima niwe nao...unadhani yale mahaba unayonipa kitandani mchezo nini!!
si unajua ten ana mdiamond wake kha! hogo la jang'ombe lina shoga mamitooo??? mmhhh! bado tu hamjaanza tiba kha!?
eti umesemaaaa? abeeeeeee? kha!
nipunguze hubby! au nizidishe! ilikuwa engine ya vvt-i nataka kubadilisha niweke engine mpya, na speed iongezeke, ila upunguze wivu kha!Nimesema hayo mahaba yako unayonipa kunako 6x6 ndiyo yanayonidatisha na kunifanya niwe na wivu kiasi hichi.
nipunguze hubby! au nizidishe! ilikuwa engine ya vvt-i nataka kubadilisha niweke engine mpya, na speed iongezeke, ila upunguze wivu kha!
mbombo ngafu! kha! sina mume! lol!mhmmm!!! kumbe hiyo ni injini ndogo tu inanifanya niwe hoi hivyo...mhmmmm!!! mi naona bora ubadilishe uweke ya lamborghini Gallardo Spyder, uongeze Turbo charger pamoja na Nitrous oxide. Ukifanya hivyo walahi vile lazima nikujengee ghorofa mwaka huu.