Na bado watafaidi mpaka wajisome vizuri! Nchi ilikuwa haina deni kabisa waliomchukia Gaddafi walikuwa wabengazi!
walbya sasa karibuni kwenye ulimwengu wa makweliniutawala
mpya wa waasi utalazimika ku-service
deni linalokadiriwa kufikia dola la
kimarekani trilioni 3 kama gharama na
hasara ambazo wanachama wa nato
wameingia kwa kushiriki katika vita vya
kumuondoa colonel gaddafi. Gharama
hizo zinahusisha mabomu, makombora
na bunduki na silaha nyingine
zilizotumika katika vita hivyo, gharama
za ndege zake nane zilizoangushwa na
majeshi ya gaddafi wakati wa
mapambano, pamoja na askari
waliopoteza maisha katika harakati
hizi.
Deni hili kubwa na ambalo litachukua
muda mrefu sana kulilipa, litaathiri kwa
kiasi kikubwa mapato ya mafuta ghafi
ambayo yatakuwa yanasafirishwa na
libya kwenda nchi za nje. Mpango huu
uliojadiliwa kwa mara ya kwanza miezi
kadhaa iliyopita na uliripotiwa
kupingwa na kiongozi wa waasi wa
wakati huo aliyekuwa akifahamika
kama yunus na kutokana na msimamo
wake huo aliuawa siku moja baada ya
kueleza msimamo wake huo kwa
viongozi wa nato. Gharama kama hizi
ziliwahirushwa kwa uongozi mpya wa iraq
baada ya utawala wa saddam hussein
kuanguka na zitaiweka libya na
wananchi wake waktika wakati mgumu
kwani italazimika kusalimisha pato lake
lote la taifa kwa ajili ya kukidhi
matakwa ya watu hawa ambao wakati
wote wamekuwa wakionekana na
'wakombozi' wa wananchi wa libya
waliosemekana kuwa katika
ukandamizaji wa utawala wa kiimla na
wakishetani wa gaddafi. Baada ya
kusherehekea ukombozi huo, sasa
watalazimika kujifunga mikanda ili
kuwaridhisha 'waliowakomboa'!
Swali linalojitokeza ni kwamba, je,
wananchi wa libya waliridhia mpango
huu ambao sasa unawagharimu? Je,
kwa nini nato wameonyesha kama vile
walikuwa na nia njema kumbe lengo
lao lilikuwa ni tofauti? Je, hii inaweza
kuwa ndiyo sababu ya wao kuatoingilia
migogoro ya nchi ambazo hazina
rasilimali za kutosha ambazo wanaweza
kuzitumia kulipia gharama zao kama
somalia, madagascar na kwingineko?
hivi itakuwa hata wa iraq na wa afghanistani wanalipa kalizai anapeza za bangi nadhaniwizi mtupu! Nilisikia hii katika mahojiano kati ya cnn na balozi wa libya us, ambapo mtangazaji alidai kwamba gharama za us katika uvamizi ule ni $2billioni hivyo us wangependa warudishiwe pesa zao hasa ukitilia maanani uchumi wa nchi ulivyoanguka. Kwa maoni yangu participation ya us ndio ilikuwa ndogo sana ukilinganisha na nchi nyingine uk, france, italy etc kwa maoni yangu gharama hazifiki hata trillioni moja. Wameweka vibaraka vyao madarakani ambao watakubali lolote lile litakalosemwa na nchi za magharibi. Inasikitisha sana.
Hamna kitu hapo muanzisha thread naona umeanzisha kwa lengo la kuziponda nchi za magharibi na umeonesha umebase upande mmoja tu. Inaelekea c mzoefu wa mambo hayo so unapojaribu kuanzisha thread na unataka comment za watu heshimu mawazo ya kila mtu na usibase upende mmoja na usitoe lugha mbaya kwa yeyote anaepingana na wew. Hatukuzoea haya dats y wanaita home ov great thinkers.
Kuna ukweli imejadiliwa hapa.......https://www.jamiiforums.com/interna...heki-hii-kitu-kuhusu-libya-kuwalipa-nato.htmlHizi ni habari za kupikwa!
utawala
mpya wa waasi utalazimika ku-service
deni linalokadiriwa kufikia dola la
Kimarekani Trilioni 3 kama gharama na
hasara ambazo wanachama wa NATO
wameingia kwa kushiriki katika vita vya
kumuondoa Colonel Gaddafi. Gharama
hizo zinahusisha mabomu, makombora
na bunduki na silaha nyingine
zilizotumika katika vita hivyo, gharama
za ndege zake nane zilizoangushwa na
majeshi ya Gaddafi wakati wa
mapambano, pamoja na askari
waliopoteza maisha katika harakati
hizi.
Deni hili kubwa na ambalo litachukua
muda mrefu sana kulilipa, litaathiri kwa
kiasi kikubwa mapato ya mafuta ghafi
ambayo yatakuwa yanasafirishwa na
Libya kwenda nchi za nje. Mpango huu
uliojadiliwa kwa mara ya kwanza miezi
kadhaa iliyopita na uliripotiwa
kupingwa na kiongozi wa waasi wa
wakati huo aliyekuwa akifahamika
kama Yunus na kutokana na msimamo
wake huo aliuawa siku moja baada ya
kueleza msimamo wake huo kwa
viongozi wa NATO. Gharama kama hizi
ziliwahirushwa kwa uongozi mpya wa Iraq
baada ya utawala wa Saddam Hussein
kuanguka na zitaiweka Libya na
wananchi wake waktika wakati mgumu
kwani italazimika kusalimisha pato lake
lote la taifa kwa ajili ya kukidhi
matakwa ya watu hawa ambao wakati
wote wamekuwa wakionekana na
'wakombozi' wa wananchi wa Libya
waliosemekana kuwa katika
ukandamizaji wa utawala wa kiimla na
wakishetani wa Gaddafi. Baada ya
kusherehekea ukombozi huo, sasa
watalazimika kujifunga mikanda ili
kuwaridhisha 'waliowakomboa'!
Swali linalojitokeza ni kwamba, je,
wananchi wa Libya waliridhia mpango
huu ambao sasa unawagharimu? Je,
kwa nini NATO wameonyesha kama vile
walikuwa na nia njema kumbe lengo
lao lilikuwa ni tofauti? Je, hii inaweza
kuwa ndiyo sababu ya wao kuatoingilia
migogoro ya nchi ambazo hazina
rasilimali za kutosha ambazo wanaweza
kuzitumia kulipia gharama zao kama
Somalia, Madagascar na kwingineko?
Na bado watafaidi mpaka wajisome vizuri! Nchi ilikuwa haina deni kabisa waliomchukia Gaddafi walikuwa wabengazi!
Debt - external: | |
$6.386 billion (31 December 2010 est.) country comparison to the world: 99$5.884 billion (31 December 2009 est.) Source: Bonyeza Hapa |
Mpango huu uliojadiliwa kwa mara ya kwanza miezi kadhaa iliyopita na uliripotiwa kupingwa na kiongozi wa waasi wa wakati huo aliyekuwa akifahamika kama Yunus na kutokana na msimamo wake huo aliuawa siku moja baada ya kueleza msimamo wake huo kwa viongozi wa NATO.
WIZI MTUPU! Nilisikia hii katika mahojiano kati ya CNN na Balozi wa Libya US, ambapo mtangazaji alidai kwamba gharama za US katika uvamizi ule ni $2billioni hivyo US wangependa warudishiwe pesa zao hasa ukitilia maanani uchumi wa nchi ulivyoanguka. Kwa maoni yangu participation ya US ndio ilikuwa ndogo sana ukilinganisha na nchi nyingine UK, France, Italy etc kwa maoni yangu gharama hazifiki hata trillioni moja. Wameweka vibaraka vyao madarakani ambao watakubali lolote lile litakalosemwa na nchi za magharibi. Inasikitisha sana.