Natngaza maandamano na mgomo kwa member wote wa JF kushinikiza Maria Roza apigwe ban!

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,020
691
Wakubwa inawezekana msinilewe lakini nimefikia hatua hii kutokana na kuona huyu mama/baba anayeongoza kwa kupost picha,hoja za ngono humu JF kwa kisingizio cha jukwaa la kikubwa.

Huyu jamaa sijui anafanya kazi gani,anapost hizo hoja zake akitegemea matokeo gani,anafumndisha nini jamii,naona moderator wa JF 'wanakula naye' kwani hawataki kumbpiga ban moja kwa moja

sasa naitisha rasmi maandamano na mgomo kwa member wote wa jf.

Utartibu wa mgomo huo na maandamano utaanza rasmi baada ya maoni yenu kutolewa hapa hapa.

Tutatumia hata FB,TT,YT iwapo JF itashindwa kuhakikisha Maria Roza anafungiwa

ebu tazama post zake za karibu ni.Gonga hapa
nawasilisha.
 
wengine tunapenda, we kama hutaki kwa nini ujipeleke mimacho yako ktk hizo picha? Tamaa tuu.
 
sasa kama mtu anapost ktk forum husika, shida iko wapi? Kwanza unapokwenda ktk ile forum, wenda kutafuta nini? tehe, kama hupendi hizo mambo the best you can do is to avoid peeping into the forum ya mambo ya sisi wakubwa!! Unataka kutuchongea kwa mod wewe. Very unreasonably!! Mimi napenda hizo mambo, je wewe??
 
Mkuu ukitaka kugombana na wana JF sema MR apigwe bann! Kuna kipindi aliomba bann mwenyewe yaani watu wakaanza kusema Oooooh jukwaa la MK litapwaya licha ya jamaa kibao kujitokeza na kusema wao wataziba nafasi ya MR.
Kifupi yeye si mkorofi isipokuwa jukwaa lake linafahamika. Ninachoweza kucomment ni sometimes pos zake naziona katika majukwaa mengine ya kawaida, hapo ndipo tatizo linapoanzia.
 
Wakubwa inawezekana msinilewe lakini nimefikia hatua hii kutokana na kuona huyu mama/baba anayeongoza kwa kupost picha,hoja za ngono humu JF kwa kisingizio cha jukwaa la kikubwa.

Huyu jamaa sijui anafanya kazi gani,anapost hizo hoja zake akitegemea matokeo gani,anafumndisha nini jamii,naona moderator wa JF 'wanakula naye' kwani hawataki kumbpiga ban moja kwa moja

sasa naitisha rasmi maandamano na mgomo kwa member wote wa jf.

Utartibu wa mgomo huo na maandamano utaanza rasmi baada ya maoni yenu kutolewa hapa hapa.

Tutatumia hata FB,TT,YT iwapo JF itashindwa kuhakikisha Maria Roza anafungiwa

ebu tazama post zake za karibu ni.Gonga hapa
nawasilisha.



forum_new-48.png
Mambo ya Kikubwa

(6 Viewing)
Only Requested users can access this point. Send your request via PM to Invisible and you'll be granted access but AT YOUR OWN RISK!


WATANZANIA WENGI WANAFAIL MITIHANI NA INTERVIEWS KWA KUTOKUFUATA MAELEKEZO, RIFHT UNGELISOMA NA KUFUATA MAELEKEZO NA TARATIBU ZA KUINGIA JUKWAA HILO USINGEWEKA HII THREAD!!!
 
sasa kama mtu anapost ktk forum husika, shida iko wapi? Kwanza unapokwenda ktk ile forum, wenda kutafuta nini? tehe, kama hupendi hizo mambo the best you can do is to avoid peeping into the forum ya mambo ya sisi wakubwa!! Unataka kutuchongea kwa mod wewe. Very unreasonably!! Mimi napenda hizo mambo, je wewe??

Kwa hiyo hakuna tataizo hapo!kwa hiyo unapenda sana ngono!!basi kwa tafsili rahisi wewe ni mkwale,pole sana mkuu!!
 
forum_new-48.png
Mambo ya Kikubwa
(6 Viewing)
Only Requested users can access this point. Send your request via PM to Invisible and you'll be granted access but AT YOUR OWN RISK!
WATANZANIA WENGI WANAFAIL MITIHANI NA INTERVIEWS KWA KUTOKUFUATA MAELEKEZO, RIFHT UNGELISOMA NA KUFUATA MAELEKEZO NA TARATIBU ZA KUINGIA JUKWAA HILO USINGEWEKA HII THREAD!!!

Kwa hiyo hilo ni jukwaa la ngono?kama ni la ngono basi wangine kiswahili hatukielewi vizuri!!
 
Wakubwa inawezekana msinilewe lakini nimefikia hatua hii kutokana na kuona huyu mama/baba anayeongoza kwa kupost picha,hoja za ngono humu JF kwa kisingizio cha jukwaa la kikubwa.

Huyu jamaa sijui anafanya kazi gani,anapost hizo hoja zake akitegemea matokeo gani,anafumndisha nini jamii,naona moderator wa JF 'wanakula naye' kwani hawataki kumbpiga ban moja kwa moja

sasa naitisha rasmi maandamano na mgomo kwa member wote wa jf.

Utartibu wa mgomo huo na maandamano utaanza rasmi baada ya maoni yenu kutolewa hapa hapa.

Tutatumia hata FB,TT,YT iwapo JF itashindwa kuhakikisha Maria Roza anafungiwa

ebu tazama post zake za karibu ni.Gonga hapa
nawasilisha.


Mkuu habari yako kwanza.
Ni hivi, unauhuru wa kuchagua jukwaa la kuingia kutokana na matakwa yako wewe, Imani yako wewe, na kile unachokiamini wewe!!
Yapo majukwaa mengi hapa na yanabeba kila tabia, na mfumo wa maisha ya hapa Tanzania na dunia nzima.

Unapenda biashara, Ingia kwenye jukwaa hilo, toa michango yako, elimisha saidia jenga
Kama ni siasa, lugha,umbea na udaku, na hayo mengine nenda huko, kaaaa huko, boresha huko kwa akili na kile ulichonacho.

Hilo jukwaa ambalo nafsi yako hailitaki, usiiingie huko, acha kabisa, tena huko unaingia kwa kupenda na kuomba mwenyewe.
AT YOUR OWN RISK!!!!
Why you go there??
Kwa nini uliomba kuingia humo, ok umeingia umekuta hakukufai tulia acha kuingia huko.
Jitambue, unataka nini, na ukae pale panapokufaa.
Ndiyo labda unaona ni vibaya lakini wanaoingia huko hawajalazimishwa, wala kupewa uhuru, wameomba kuingia wenyewe.

So please, Just be cool, Muache Maria ROza wa watu.
Chagua sehemu yako inayokufaa.
 
Mambo ya kikubwa jukwaa!

Only Requested users can access this point. Send your request via PM to Invisible and you'll be granted access but AT YOUR OWN RISK

Kama ulijiunga umeyataka mwenyewe
Try to change urself not the world
 
Mkuu habari yako kwanza.
Ni hivi, unauhuru wa kuchagua jukwaa la kuingia kutokana na matakwa yako wewe, Imani yako wewe, na kile unachokiamini wewe!!
Yapo majukwaa mengi hapa na yanabeba kila tabia, na mfumo wa maisha ya hapa Tanzania na dunia nzima.

Unapenda biashara, Ingia kwenye jukwaa hilo, toa michango yako, elimisha saidia jenga
Kama ni siasa, lugha,umbea na udaku, na hayo mengine nenda huko, kaaaa huko, boresha huko kwa akili na kile ulichonacho.

Hilo jukwaa ambalo nafsi yako hailitaki, usiiingie huko, acha kabisa, tena huko unaingia kwa kupenda na kuomba mwenyewe.
AT YOUR OWN RISK!!!!
Why you go there??
Kwa nini uliomba kuingia humo, ok umeingia umekuta hakukufai tulia acha kuingia huko.
Jitambue, unataka nini, na ukae pale panapokufaa.
Ndiyo labda unaona ni vibaya lakini wanaoingia huko hawajalazimishwa, wala kupewa uhuru, wameomba kuingia wenyewe.

So please, Just be cool, Muache Maria ROza wa watu.
Chagua sehemu yako inayokufaa.

My Take:
Ina maana kwa mfano humu JF kama kuna jukwaa linalowahamasisha watanzania kuvuta bangi,kutumia madawa ya kulevya unaweza kusema tuachane nalo kwa kuwa wanaolitembelea ni watumiaji wa bagi na madawa ya kulevya?
 
My Take:
Ina maana kwa mfano humu JF kama kuna jukwaa linalowahamasisha watanzania kuvuta bangi,kutumia madawa ya kulevya unaweza kusema tuachane nalo kwa kuwa wanaolitembelea ni watumiaji wa bagi na madawa ya kulevya?

Ashukuriwe Mungu kwa sababu hakuna jukwaa kama hilo JF!!
Na hilo jukwaa la Wakubwa hatuwezi kulinganisha na mambo ya bangi na unga!!

Mimi mwenyewe sio mteja wa hilo jukwaa la wakubwa!!
Lakini baada yakupita huko kuangalia kuna nini, niliona kuna vitu ambavyo watu wanaweza kujifunza kuimarisha
mahusiano yao ya ndoa, na kupata mbinu za kuilinda na kuijenga ndoa katika secta nzima ya tendo lenyewe.
Na ninachoamini, kikiwekwa kitu cha ajabu na kutisha, MODS wapo makini, ku modereiti kaka angu!!!!

Muache Maria Roza WA Watu.
 
Only Requested users can access this point. Send your request via PM to Invisible and you'll be granted access but AT YOUR OWN RISK.

Itabidi MODS watafsiri kwa Kiswahili maana naona inakuwa ngumu watu kuelewa ukiishaambiwa AT YOUR OWN RISK sijui unaenda kutafuta nini tena.
 
Hii hoja hapa siyo mahala pake, ipeleke huko huko anakohusika MR...
Tutaijadili.
 
Wakubwa inawezekana msinilewe lakini nimefikia hatua hii kutokana na kuona huyu mama/baba anayeongoza kwa kupost picha,hoja za ngono humu JF kwa kisingizio cha jukwaa la kikubwa.

Huyu jamaa sijui anafanya kazi gani,anapost hizo hoja zake akitegemea matokeo gani,anafumndisha nini jamii,naona moderator wa JF 'wanakula naye' kwani hawataki kumbpiga ban moja kwa moja

sasa naitisha rasmi maandamano na mgomo kwa member wote wa jf.

Utartibu wa mgomo huo na maandamano utaanza rasmi baada ya maoni yenu kutolewa hapa hapa.

Tutatumia hata FB,TT,YT iwapo JF itashindwa kuhakikisha Maria Roza anafungiwa

ebu tazama post zake za karibu ni.Gonga hapa
nawasilisha.
ushindwe na ulegee na umkome mwalimu wetu kama ulikoma ziwa la mama yako.we wa kuja alafu unatuletea nyodo?lione kwanza.
 
Wakubwa inawezekana msinilewe lakini nimefikia hatua hii kutokana na kuona huyu mama/baba anayeongoza kwa kupost picha,hoja za ngono humu JF kwa kisingizio cha jukwaa la kikubwa.

Huyu jamaa sijui anafanya kazi gani,anapost hizo hoja zake akitegemea matokeo gani,anafumndisha nini jamii,naona moderator wa JF 'wanakula naye' kwani hawataki kumbpiga ban moja kwa moja

sasa naitisha rasmi maandamano na mgomo kwa member wote wa jf.

Utartibu wa mgomo huo na maandamano utaanza rasmi baada ya maoni yenu kutolewa hapa hapa.

Tutatumia hata FB,TT,YT iwapo JF itashindwa kuhakikisha Maria Roza anafungiwa

ebu tazama post zake za karibu ni.Gonga hapa
nawasilisha.

sasa umetuwekea link tugonge wakati jukwaa hilo la wakubwa mpaka upate kibali kutoka kwa Invisible ..... lete mada bana kwenye hoja mchanganyiko ... ulifuata nini huko ... au ulikua una beep .... unalo
 
Mkuu kama wewe unajiona ni mbovu wa mambo hayo si lazima uzame kwenye jukwaa la wakubwa...................
 
Back
Top Bottom