Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Yupo rafiki yangu mmoja aliwahi kung'ang'aniwa na mdada baada ya kumtia mimba na hatimaye kupata mtoto wa kike! Ung'ang'anizi huo ulifanya kazi na mpaka sasa wako naye tangu mwaka 2001! Ukishikwa shikamana ndugu! Nani anayependa kuharibiwa maisha? Tena wakati ni mjamzito ile njemba ilikuwa inadai wakaitoe mimba! Haya mambo acheni tu jamani, wanaume wenzangu muwe na huruma!