Wadau naomba mawazo yenu.
Kuna binti tuko nae chuoni,ila nilifahamia nae zaidi baada ya kuattend conference pamoja hivi karibuni.
Tukabadilishana namba na tumekuwa tukichat tu mara kwa mara.saa zingine tunaflirt na yeye ndio mwanzilishi.na saa zingine namtupia jokes nnazozitoa humu ndani basi tunaenda.
Chaajabu leo niko klas nkaona simu zange nyingi zinaingia,nkawa sipokei koz pindi linasonga.
So ndio akatuma msg kuwa jamaa yake amekuja chuo na kaona msg zangu so ana hasira na kumruhumu kuwa na uhusiano namm. Sikujibu msg yenyewe.kisha akatuma nyingine kuwa nisimtafute tena wala kumusms.sijajibu tena.nlikuwa shocked na nlifadhaishwa sana nkawa nshaamua sitamtafuta tena yani nampotezea.akawa anapiga sipokei..akatuma sms ati nipokee niolngee na jamaa nimhakikishie kuwa sina uhusiano naye.nakapotezea tena.
Cha ajabu usiku huu kantumia msg kuwa ni bora ningepokea tuu simu koz jamaa wake ni mtu mkubwa sana mjini hapa amechkua namba yangu na atanitafuta na atanipata,na tena amedai atanifanyia kitu mbaya sijawahi kuona.
Sa hapa ndo nawaza na kuwazua nafkiria nimjibu nini au nifanyeje..
Naomba ushauri wenu wadau..ni hayo tu.
Tatizo msg yenyewe ukiisoma unahisi ka umebakiza saa kadhaa b4 hujafa..
hifadhi hizo message ili akikuua tu, tupate ushahidi, huna haja ya kwenda polisi kwamaana hata habari ya kutishiwa kuuawa Mwakembe polisi waliipotezea.
RIP: natanguliza hii in advance, inawezekana siku hiyo nikawa kijijini kwetu na huko hakuna hata mtandao wa simu.
Muone vile.We ulivyokua unalia jana ulikua "a little girl" ????
Kiukweli saivi nimejifkiria nimehisi km kamchezo flani.. Nami sjui niendelee kumtumia msg demu ili nizidi kumkasirisha na kumtia wivu!
Ila ka‘ ni kweli yuko sirias na ana uwezo huo basi ndo kweli ntakua wa leo wa kesho..
Ukute dada na boyfriend wake wanamsoma hapa wanachekaaaa alafu wanamtumia message ingine, anapanick, anazileta hapa wanacheka tena and so on.
Just stop thinking about them. Inaonekana wazi kua huyo dada is not worth killing for.