Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 58,768
- 78,437
wajameni hali ya mambo inavyoendelea naskia tetesi kuna maagizo ya kulifungia mojawapo ya magazeti kati ya The Citizen au The East African! Kuna nguvu kubwa inaelekeza hayo yafanywe ikumbukwe The Citizens washapewa onyo hivi majuzi na Wizara ya Habari na Michezo! Yetu macho tushuhudie kinachofata maana kuna uwezekano mkubwa wa wiki hii viongozi husika kuitisha Press maelezo! hasa kuhusiana na habari inayomhusisha RA moja kwa moja na Dowans! Nae mhusika anatarajiwa kutoa press wiki hii!