Ruge Opinion
JF-Expert Member
- Mar 22, 2006
- 1,838
- 701
Vijana wa kileo ni mbumbumbu au? Tutafikaje ikiwa mada mlizo na uwezo nazo ni ngono, mapenzi, muziki na michezo tu? Kama hamuwezi mada ngumu je changamoto ngumu kwenye ajira mtaziweza?Mkuu hizi ni mada ngumu kidogo kwa vijana wa kileo. At any rate sijui kama wengi wao wana kumbukumbu ya kupitia kwenye vitabu vyao vya historia ya uchumi wa Tanzania,hapa tumsubiri prof Lipumba kuelezea.
Hata hivo mimi naunga mkono urejeshaji wa mali ya umma,