Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa Tanzania, ambalo linatakiwa kukutana kila wiki kufanya tathimini ya Hali ya Usalama nchini huwa rais. Hali ya Ulinzi na Usalama ni mbaya wiki hii. Mwenyekiti yupo? hayupo! Au kamwachia mtu kazi hiyo? Kamwachia nani kazi hiyo? Na je huyo aloachiwa anaweza kazi hiyo? Any body with useful information?