National ID vs vyeti feki

Feb 15, 2012
12
0
Naomba kueleweshwa ule mradi wa vitambulisho vya utaifa utafanyaje kazi?
Je kutakuwa na central computerized database? na kama utakuwa hivyo utafanyaje kazi wakati kuna wazalendo kibao wanaotumia eidha vyeti vya magumash au majina ya watu wengine?. Ninachojua km taarifa za watu wawili zinafanana kwa kitu, mfumo lazima utachanganyikiwa na kung'ang'ania kuwatema hao watu hadi data ziwekwe sawa!
 
its a point of criticism, BUT
u still need to digest hard the mechanism (watakazotumia) of fetch out duplicates, identicals, forgery and other

kwani Bongo ikitokea majina matatu yamefanana, na nyote mna valid ID's, nini kitatumika kutofautisha ?

waarabu wana majina ya ukoo, westerners wanatumia nicknames or so kuziba pengo hili


-lets wait and see the world
 
its a point of criticism, BUT
u still need to digest hard the mechanism (watakazotumia) of fetch out duplicates, identicals, forgery and other

kwani Bongo ikitokea majina matatu yamefanana, na nyote mna valid ID's, nini kitatumika kutofautisha ?

waarabu wana majina ya ukoo, westerners wanatumia nicknames or so kuziba pengo hili


-lets wait and see the world


Hii kitu ni posibo kwa zanzibar kutokana na mfumo wa majina yao mfano unaweza kuta kuna watu kadhaa wanaoitwa Said Juma Ally
 
its a point of criticism, BUT
u still need to digest hard the mechanism (watakazotumia) of fetch out duplicates, identicals, forgery and other

kwani Bongo ikitokea majina matatu yamefanana, na nyote mna valid ID's, nini kitatumika kutofautisha ?

waarabu wana majina ya ukoo, westerners wanatumia nicknames or so kuziba pengo hili


-lets wait and see the world

Katika uwekaji wa kumbukumbu has matumizi ya IT, hapa nazungumzia "Database Management System" /"Database Systems", majina hayatumiki kama kitambuzi (identifier). Kwenye database kila ingizo linakuwa na namba ya pekee (Unique identifer) ambayo hujulikana kwa lugha ya kitaalamu kama "Primary Key". Primary key ni namba ambayo itamtambulisha mtu kwenye system. Kwa hiyo hata kama wapo John Massanja ishirini, kila ingizo litakuwa na namba yake tofauti. Ndiyo kusema kwamba Kila ID itakuwa na namba yake. Vilevile Database inaweza kutunza taarifa zingine kama vile "finger prints" au "Biometrics ID" kwa hiyo ni rahisi kutambulika.

Sasa ikiwa majina yanafanana na unataka kuhakiki kama mtu katumia cheti cha shule cha mtu mwingine hapo ni lazima kila mtu alete "original certificate" ya vyeti vyake vya shule/au cheti cha kuzaliwa. Ikiwa vinafanana kwa namba ya cheti, majina, umri na shule walizosoma, then hapo ndo utajua kuwa kuna mushkeli. Vinginevyo hata huko mashuleni aau vyuoni, kuna watu wana majina yanafanana. Kinachowatofautisha ni Registration number.
 
Katika uwekaji wa kumbukumbu has matumizi ya IT, hapa nazungumzia "Database Management System" /"Database Systems", majina hayatumiki kama kitambuzi (identifier). Kwenye database kila ingizo linakuwa na namba ya pekee (Unique identifer) ambayo hujulikana kwa lugha ya kitaalamu kama "Primary Key". Primary key ni namba ambayo itamtambulisha mtu kwenye system. Kwa hiyo hata kama wapo John Massanja ishirini, kila ingizo litakuwa na namba yake tofauti. Ndiyo kusema kwamba Kila ID itakuwa na namba yake. Vilevile Database inaweza kutunza taarifa zingine kama vile "finger prints" au "Biometrics ID" kwa hiyo ni rahisi kutambulika.

Sasa ikiwa majina yanafanana na unataka kuhakiki kama mtu katumia cheti cha shule cha mtu mwingine hapo ni lazima kila mtu alete "original certificate" ya vyeti vyake vya shule/au cheti cha kuzaliwa. Ikiwa vinafanana kwa namba ya cheti, majina, umri na shule walizosoma, then hapo ndo utajua kuwa kuna mushkeli. Vinginevyo hata huko mashuleni aau vyuoni, kuna watu wana majina yanafanana. Kinachowatofautisha ni Registration number.

Nimeziona hizo form za kupatia hiyo ID, zinahitaji hizi taarifa pia
 
NIDA wanasuasua maana wengi wataumbuka kwa vyeti bandia... wakiishi ktk wasifu wa watu wengne.
 
Katika uwekaji wa kumbukumbu has matumizi ya IT, hapa nazungumzia "Database Management System" /"Database Systems", majina hayatumiki kama kitambuzi (identifier). Kwenye database kila ingizo linakuwa na namba ya pekee (Unique identifer) ambayo hujulikana kwa lugha ya kitaalamu kama "Primary Key". Primary key ni namba ambayo itamtambulisha mtu kwenye system. Kwa hiyo hata kama wapo John Massanja ishirini, kila ingizo litakuwa na namba yake tofauti. Ndiyo kusema kwamba Kila ID itakuwa na namba yake. Vilevile Database inaweza kutunza taarifa zingine kama vile "finger prints" au "Biometrics ID" kwa hiyo ni rahisi kutambulika.

Sasa ikiwa majina yanafanana na unataka kuhakiki kama mtu katumia cheti cha shule cha mtu mwingine hapo ni lazima kila mtu alete "original certificate" ya vyeti vyake vya shule/au cheti cha kuzaliwa. Ikiwa vinafanana kwa namba ya cheti, majina, umri na shule walizosoma, then hapo ndo utajua kuwa kuna mushkeli. Vinginevyo hata huko mashuleni aau vyuoni, kuna watu wana majina yanafanana. Kinachowatofautisha ni Registration number.

Yaani asipoelewa hapa tena basi huyo hana nia ya kuelewa. Umemcgambulia mpaka mambo ya Primary Keys, ungemuongezea kabisa na Foreign Keys kisha ungemmalizia na Data Type. Dah umenikumbusha sana kipindi hiko cha utotoni nasoma Computer Science mambo ya SQL Server na MySql ahaha.
 
its a point of criticism, BUT
u still need to digest hard the mechanism (watakazotumia) of fetch out duplicates, identicals, forgery and other

kwani Bongo ikitokea majina matatu yamefanana, na nyote mna valid ID's, nini kitatumika kutofautisha ?

waarabu wana majina ya ukoo, westerners wanatumia nicknames or so kuziba pengo hili


-lets wait and see the world

Kwan sisi hatuna majina ya ukoo?
 
Back
Top Bottom