natfuta nyumba ndogoooooo

yahoo

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
3,527
1,405
Isiwe ndogo saaana,
2. Iwe nzuri na yenye mvuto,
3. Isiwe imetumika mno,
4. Isiwe na umeme,
5. Iwe maeneo ya uswazi (cheap),
6. Iwe nyeupe na ndefu,
7. Mpangaji niwe peke yangu,
8. Isiwe na masharti mengi,
9. Nisizuiliwe kutumia huduma za tigo,
10. Iwe katika mazingira ya usafi.

Nyumba nitakayoipata na kuniridhisha kwa haya yote 10 nitafanya mazungumzo ya kuinunua kabisa ili iwe yangu kabisa. Nawasilisha!​



 
Ipo Mbagala sema inabidi ufanyie ukarabati kidogo manake inavuja kwa nyuma nnaimani ww ni mtaala wa kuziba ukizingatia ww unatembea na nyundo misumari ipo..
 
Kuna moja alikuwa anaishi mwarabu mmoja hiv akahama,
ntaku pm ila kwa sasa anatakiwa ke,
 
Isiwe ndogo saaana,
2. Iwe nzuri na yenye mvuto,
3. Isiwe imetumika mno,
4. Isiwe na umeme,
5. Iwe maeneo ya uswazi (cheap),
6. Iwe nyeupe na ndefu,
7. Mpangaji niwe peke yangu,
8. Isiwe na masharti mengi,
9. Nisizuiliwe kutumia huduma za tigo,
10. Iwe katika mazingira ya usafi.

Nyumba nitakayoipata na kuniridhisha kwa haya yote 10 nitafanya mazungumzo ya kuinunua kabisa ili iwe yangu kabisa. Nawasilisha!​



Iwe na maji kiasi yanayotosha kwa matumizi ya ndani ila yasiwe mengi saaanaa.Pia
Mwenye nyumba awe tayari kukubali kujenga kanyumba kadogo Uani kwenye kiwanja chake.Ukipata nyingi ni PM nami nahitaji.
 
iko hapa jangwani ila kabla hujaingia ndani kuna chaka kubwa sana na ardhi yake iko chapachapa....lakini ina nafasi ya kutosha ndani
 
Back
Top Bottom