Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
Naombeni msaada.
Usiku nikilala natembelewa na watu nisiowajua,yaani kila siku kuna watu wanakuja chumbani kwangu halafu tunakaa na kuongea,wakiondoka tu na mimi naamka mara nyingi inakuwa mida ya saa tisa usiku,nikiangalia milango yote imefungwa najaribu kuangalia kama kuna mtu pale ndani lakini hakuna kitu,naombeni msaada jamani hili jambo linanisumbua sana
Usiku nikilala natembelewa na watu nisiowajua,yaani kila siku kuna watu wanakuja chumbani kwangu halafu tunakaa na kuongea,wakiondoka tu na mimi naamka mara nyingi inakuwa mida ya saa tisa usiku,nikiangalia milango yote imefungwa najaribu kuangalia kama kuna mtu pale ndani lakini hakuna kitu,naombeni msaada jamani hili jambo linanisumbua sana