menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
Nimekuwa nikiumwa na kichwa sana.nilipima na kukutwa na malaria nikatumia metachelphin alafu nikachoma sindano aina ya antmethor.lakin hakija tulia nikaenda kupima typhoid nikakutwa nayo nikaamua kutumia dawa za typhoid but still bado kichwa kinauma mbaya yaani kama sina dicloper pembeni ni balaa.Pia nimekuwa nikipatwa na maumivi kidogo kwenye uume wakati wa haja ndogo na muwasho hivi.nimetumia dawa za U.T.I lakini bado.kiukweli nateseka mwenzenu naombeni msaada wa ushauri .