Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Last edited by a moderator:
hahah.....Kaizer leo umenifurahisha kweli, hujui infii wewe, au kwa vile Teamo hayupo eeh? Alafu.....tafadhali bwan'shee, kulikoni mie nikuombee mabaya na mwezi huu kweli?? Au unajihisi tu? Lol
Mh..... Kipipi.....!
Kipipi hicho ndicho kilichonivutia ku comment. pamoja na kusema sio mdau wa chit chat na mkoloni wangu kubania mtandao nikaona nikitoka hivi hivi haitalipa! hebu nijirudie zangu kazini. lolz, endelea kuchokoa nije nisome majibu yenu baadae labda tutaelewa. hahaha!
fungu la kukosa lamfaa! hivi Kaizer ushawahi kutana na mwanamke ruba? king'anga'nizi mpaka anatamani aivunje ndoa yako, au amroge mkeo?? lol" yamemkuta hubby wangu, mpaka kaja kunisimulia, kuwa anajuta kucheat! lol, nisaidie basi kuandika thread ya ushauri khaaaaaaaaaaaa!Basi hata sijui tumuweke fungu gani cacico
" Eee Mungu wa Majeshi mlaze pema Kipipi ili aweze kukumbuka maana ya infi Amen"Heheh......huo wote ni wasiwasi wako tu Kaizer, kwani hujiamini?? Alafu huyo babu unamwita aje anipeleke wapi? Hata hivyo naenda zangu kulala......nitakie usingizi mwema ili nilale nikikumbuka maana ya infii!!
fungu la kukosa lamfaa! hivi Kaizer ushawahi kutana na mwanamke ruba? king'anga'nizi mpaka anatamani aivunje ndoa yako, au amroge mkeo?? lol" yamemkuta hubby wangu, mpaka kaja kunisimulia, kuwa anajuta kucheat! lol, nisaidie basi kuandika thread ya ushauri khaaaaaaaaaaaa!