Complicator EM
Senior Member
- Dec 20, 2011
- 155
- 39
Tuko njiani tunaenda kupanda daladala kuelekea hospitali kumuona jamaa yangu amelazwa tangu jana. Kwa hiyo niko na mke wake tunaenda kumjulia hali.
Tuko njiani tunaenda kupanda daladala kuelekea hospitali kumuona jamaa yangu amelazwa tangu jana. Kwa hiyo niko na mke wake tunaenda kumjulia hali.
hicho kichwa cha habari kimenistua! nikajua 'kutembea' kumbe ni kutembea. haya umetupata
una hela kumpa huyu dada au ndio maongezi na chips mayaya tu ?
Yaani kuna watu wanadhani hapa ndani wote ni watoto.
Mnatuchosha :embarassed2: