baltazarmushy
Member
- Feb 19, 2012
- 8
- 0
huna jipya kaka!!!
Thanks for promotion,the way u act,the way u make me famous
Hili litakuwa zaidi ya lile la Sugu na Ruge ni zaidi ya uhasama wa cdm na ccm, ni ngoma nzito zaidi ya vita ya Bush na Osama, ni uadui zaidi ya ule wa Kibaki na Odinga, ni chuki kubwa zaidi ya ile ya Mugabe na Tshangilai. Si nyingine ni vita kati yangu mimi WA KUSOMA vs EXCELLENT. Sababu ninazo, nia ninayo na uwezo pia ninao.
Alinichafua sana hlf akakimbia sasa amerudi na amepost thread nyingi sana humu na kila nikimrushia kombora analikwepa sasa namwambia siku zake zinahesabika humu JF. Najua ana wapambe wake humu akina KABAKABANA, AFRODENZ, JAKUMBUMBA na wengine kibao jichanganyeni hapa niwalipue live. Kudadadeki.
By;
WA KUSOMA
Excellent ni roll model wangu kwa msimu huu.