sifa zote anazo,nadhani huu ndo wakati wa kutoka kiuchumi
Go ahead go.
Jamani TaiJike ni shemeji/wifi yenu.
Naomba wale wenye nia chondechonde jamani.Msije mkanipeperushia tai wangu,nimetoa jasho kumpata.
Hongereni sana the newest couple!!!
Ngoja wengine bado tupo tupo tu! Maana raha ya kuwa free bado tunataka tuileeee na tuimalize bana...
Jamani TaiJike ni shemeji/wifi yenu.
Naomba wale wenye nia chondechonde jamani.Msije mkanipeperushia tai wangu,nimetoa jasho kumpata.