maziwa ya mgando
Senior Member
- Mar 29, 2012
- 167
- 36
Kabakabana itakuwaje jamani, si atakufa na miwivuu?
Kuna khanga inasomeka "FITINA NA PELELEZI NI SUMU YA PENZI" hapo naona uko keep left.
Judgement bhana, ulitaka kila kitu tuweke bango?
Hahahaaaa usikute Mtei One kashakupiga bao long time....braza naona Bi Ny hatuwasiliani tangu jana...i dont know what has happened!
Hahahaaa ukishindwa sema tukusaidie kijana acha kulalanimebaki mie tu ngoja nithubutu ntawedha tu.