fedha mi na wewe tutahusika sana...halafu nakumiss bby
Dah kweli ni shida sana kuwa bachelor ndo maana wengine tulishajitoa tangu zamani.....Mkuu huu ubachelor kazi sana we hujui tu,unakuwa mpweke halafu kuna vitu vya msingi unakuwa unavimiss
Excellent,
Yote kwa yote hapa kauli ya elected Wife wako ya kuagrii propasal Rasmi sijaiona hapa!
Au mimi ndiyo sioni vizuri ?
Yah bango ndo mambo yote uli wale vipanga na walaku wajue umeshalipiwa tayari....Judgement bhana, ulitaka kila kitu tuweke bango?
Yah bango ndo mambo yote uli wale vipanga na walaku wajue umeshalipiwa tayari....
Toa kauli.....Unamkubali Excellent kuwa Mpenzi wako?
fedha mi na wewe tutahusika sana...halafu nakumiss bby
Sawa....Ndio namkubali.
kwa hiyo nimzalishe kwanza
Tombokaa !
Babaa
Tombokaa
Usimbe Jeiefu wa nini ? Na Mijimama, Mi- bi Dada, Mimanzi lukuuuki ? Wala mimi sifuti kasumba kua wao wapo kwa ajili yetu !
Na naiheshimu, naitetea, naijali kasumba yangu. Fullystop .