Natangaza rasmi leo kuuacha uraia wa Tanzania na kuwa Mkenya

Uamuzi mzuri, hasa ukizingatia wewe umezaliwa ndani ya taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao si punde utavunjika na kuwa Tanganyika na Zanzibar. Wengi wengi hatutakuwa raia wa hizo nchi mbili.
 
Sasa huko Kenya Yo YO utatambulika kuwa wewee ni kabila gani sababu huko Kenya ukiachilia wazungu,waasia,kwa wamatumbi lazima ujitambulishe kwa kabila fulani,then ndio pia mambo yako yaende kikabila,nachelea utaomba urudishiwe tena uraia wa Tanzania,kwani Mungiki hawatakukubali kuwa mmoja wao vilevile Wakale,Wanandi,luhya na Jaruos,pole kaka umeruka kojo umekanyaga kimba la mimavi,loh niombe uraia wa Kenya aheri nikeshe kuomba nipate uraia wa Afaghanistani
huyu inabidi ahamie kwa wajaluo si unajua hawatahiriwi? huku ndio kunamfaa zaidi
 
We acha unafiki kutuita sie makondoo..ungeaza wewe nasi tufuate. Kuhama nchi na kukana uraia sio dawa. Istoshe huko utaishi kama mtumwa kwani ukichongoa mdomo tu, wanakupora uraia.
 
Huko uendako ndio kumeooza kabisa!!!!!!!!!!!!!!!! Hakikisha unawachukua na wajukuu pia
 
Uko huru kama umefikisha miaka 18 umri, najua utakuwa mtu mzima so usije kutulalamikia badae mungiki wakikubana!
 
Jamani acheni kumsakama yo yo, hayo ni maamuzi yake. Kwani ni nyinyi mliompangia kuzaliwa Tanzania?

Ndani ya mwaka 2010, jamaa zangu kama 19 wameishaukana uraia wa Tanzania na kuwa raia wa nchi zingine!

Huko nyumbani si hamruhusu dual citizenship? sasa mnalalama nini?

dual citizenship ya kazi gani?
"you are either with us or leave us"
 
Acha uongo hapa, wewe ulikuwa m-Tz lini?! Kwa hiyo ulipozamia bongo ukapata kiwanja ukaiba ukajenga banda ukaona umekuwa m-Tz? Halafu kule kwenu ardhi kidogo aliyoacha Kenyatta, Moi na swahiba zake wamenyakua yote! Nenda uwe manamba ndo utatia akili.
 
Kuukana uraia wa bongo sawa lakini ndo kuhamia Kenya? yaani umeruka mkojo ukaenda kanyaga inya ha ha ha. Ocampo anao kwa shingo
 
Mimi Yo Yo leo tarehe 8 april natangaza rasmi kuukana uraia wa tanzania na kuutupilia mbali na kuwa Mkenya.

Hongera dadi,jana mmefanya kweli paris marathon.one two for both mens and women events.
 
Hebu acha umbea wewe...umesikia kwa nani?
KUNA SHORI MMOJA kaja hapa kasema umemtongoza ukasema weye waziri....afu yule shori ka kichongeo cha kuchongea penseli...dogo umechoka kweli..
 
Mimi Yo Yo leo tarehe 8 april natangaza rasmi kuukana uraia wa tanzania na kuutupilia mbali na kuwa Mkenya.
Lazima wakenya wakukubali mkuu. Inaitwa kuwa "Naturalised" ndipo utakuwa Mkenya. Pole! We bado Mtanganyika.
 
Back
Top Bottom