Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
pole sana umeangukia pabaya sana hao wote ulio wataja ni manung'ayembe.
duh...........!!!
pole sana umeangukia pabaya sana hao wote ulio wataja ni manung'ayembe.
Nimefata kwa Prime Minister jirani ila naona alikuwa nafanya trial and error! Tena karibu angeangukia na kwako, nikamwambia hapo tutakosana.
Aha jirani thanx sana kwa mualiko huu! Ninavyopenda hiyo kitu....ntajitahidi nifike! Hebu nipe taarifa za ndani kama muda nkhahaha jirani asante kwà kujali.... hakika u-jirani mwema. karibu Nyamhongolo kesho kuna ng'ombe inaangushwa!
All the best.
Nitamuomba member aitwaye Jikoki amtamfute Nitonye ili amtonye kama Tangipori kajikoki vya kutosha kuchukua kati ya hayo majimbo.
Heee hee! Hebu tupe sababu zako ni kwanini umewachagua hao tu ilihali hapa jf wapo wengi tu.... Ni vigezo gani umetumia?
ngoja baba ashrat aje.
Na mama ashrat kamwacha wapi?
Hao wote nenda pale buguruni utawapata
nakutakia 'kuwafukuzia' kwema, speed yako tu......... Angalia usilowe jasho la kwapa kwenye mbio zako
tena mbio ambazo matunda yake ni mgogoro kupatikana...km mpapai dume lol
we mwache tu na mbio zake, kama hajaishia kuunguza mafuta na kubakia kama chelewa....
Teh hana tofauti na anayekimbiza upepo lol
BTW mzima BT?
Hahahaaahaaa
mie mzima erick, nimekumiss tu....
Weekend vipi?