Hata huko ambako unasema umehamia kwa kuona kuna Vision ya maedeleo, ikitokea wakashindwa kuwa na vision ya kulisaidia taifa katika maendeleo, usije ukatutangazia kuwa umeamua kuwatosa. Tanzania yetu hii, usidanganyike, hakuna chama hata kimoja chenye vision ya kuleta maendeleo na kupunguza umaskini kwa watanzania. Narudia tena, hakuna chama hata kimoja chenye lengo la dhati la kuinua uchumi wa Tanzania. Nakaribisha matusi kutoka...
.
"LONELINESS IS THE MOST TERRIBLE POVERTY".
Ahsante sana. Tuko pamoja kwa ukombozi wa Tz.