Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Nimejitoa muhanga rasmi kuhakikisha huyu bwana mdogo wakati ndio sasa anammiliki charminglady .Hii imetoka na kuona kijana anaelekea kusiko wote ni mashaidi.
Ni kweli nitakua ninawakati mgumu sana katika kufanikisha hili hasa kwa jins ninavyo mjua charminglady ,lakini ntajitahidi kadri ya uwezo wangu.
Nichukue fursa hii kukuomba radhi C6 kwa kitakacho faata baada ya hapa.lakini pia nitake ushirikiano wako.
Ninaomba wale wote wanaotaka kuungana na mimi wajitokeze hasa Madame B St. Paka Mweusi Madahali jnr Arabela Judgement advocate ruttashobolwa Bishanga Preta Kongosho Remmy Mamndenyi hii ni first eleven inatosha kuanza nayo.wengine mnaweza kuongezeka. charminglady tupokee wageni wako
Ni kweli nitakua ninawakati mgumu sana katika kufanikisha hili hasa kwa jins ninavyo mjua charminglady ,lakini ntajitahidi kadri ya uwezo wangu.
Nichukue fursa hii kukuomba radhi C6 kwa kitakacho faata baada ya hapa.lakini pia nitake ushirikiano wako.
Ninaomba wale wote wanaotaka kuungana na mimi wajitokeze hasa Madame B St. Paka Mweusi Madahali jnr Arabela Judgement advocate ruttashobolwa Bishanga Preta Kongosho Remmy Mamndenyi hii ni first eleven inatosha kuanza nayo.wengine mnaweza kuongezeka. charminglady tupokee wageni wako
Last edited by a moderator: