Natangaza nia Udiwani kata ya Moshono then Arusha city mayor

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Jan 31, 2012
8,651
2,627
Nimezaliwa ktk kata hii ya moshono yenye rasilimali nyingi hasa mauzo ya moram na kokoto na katu hajapata kutokea diwani aliyejijengea sympathy kwa wapiga kura toka 2kiwa halmashauri ya Arumeru mpaka 2livyohamishiwa jiji. DIWANI aliyepo sasa Mr Paul Mattyssen wa CCM aliyepewa kura za kuaminiwa kama JK MWAKA 2005 haonekani na amekuwa majuto kwa wapiga kura.

Ameahidi kutatua kero za maji hasa kuchimba visima ila iyo kwetu ishakuwa kitendawili.Tokea mwaka 2010 nlishauriwa na wazee na vijana wenzangu na pia aliyekuwa mgombea wetu wa ubunge ni_ contest mwaka huo nikawapa sababu kuwa bado mdogo, ngoja chama kinilee.SASA NIMEKOMAA NA NATANGAZA KUINGIA KTK KINYANG'ANYIRO CHA 'REFRNDUM'MWAKA 2015.

Nimeanza kukijenga chama kwa kukieneza mtaani na kuendesha midahalo vijiweni ambapo mpaka juzi kwa kushirikisha CHADEMA KATA YA MOSHONO TUMEKABIDHI KADI 7 KWA MABALOZI WA CCM MTAA WA SEKEI MORAM!
 
Nimezaliwa ktk kata hii yenye rasilimali nyingi hasa mauzo ya moram na kokoto na katu hajapata kutokea diwani aliyejijengea sympathy kwa wapiga kura toka 2kiwa halmashauri ya arumeru mpaka 2livyohamishiwa jiji.DIWANI aliyepo sasa Mr Paul Mattyssen wa ccm aliyepewa kura za kuaminiwa kama JK MWAKA 2015 haonekani na amekuwa majuto kwa wapiga kura.Ameahidi kutatua kero za maji hasa kuchimba visima ila iyo kwetu ishakuwa kitendawili.Tokea mwaka 2010 nlishauriwa na wazee na vijana wenzangu na pia aliyekuwa mgombea wetu wa ubunge ni_ contest mwaka huo nikawapa sababu kuwa bado mdogo, ngoja chama kinilee.SASA NIMEKOMAA NA NATANGAZA KUINGIA KTK KINYANG'ANYIRO CHA 'REFRNDUM'MWAKA 2015.Nimeanza kujenga chama kwa kukieneza mtaani na kuendesha midahalo vijiweni ambapo mpaka juzi kwa kushirikisha CHADEMA KATA YA MOSHONO TUMEKABIDHI KADI 7 KWA MABALOZI WA CCM MTAA WA SEKEI MORAM!

tunakuombea kheri.
 
Mkuu kila la kheri na harakati hizo mie nakutakia mafanikio mema zaidi,lakn jaribu kuedit hapo JK na 2015
 
Nimezaliwa ktk kata hii ya moshono yenye rasilimali nyingi hasa mauzo ya moram na kokoto na katu hajapata kutokea diwani aliyejijengea sympathy kwa wapiga kura toka 2kiwa halmashauri ya Arumeru mpaka 2livyohamishiwa jiji. DIWANI aliyepo sasa Mr Paul Mattyssen wa CCM aliyepewa kura za kuaminiwa kama JK MWAKA 2005 haonekani na amekuwa majuto kwa wapiga kura.

Ameahidi kutatua kero za maji hasa kuchimba visima ila iyo kwetu ishakuwa kitendawili.Tokea mwaka 2010 nlishauriwa na wazee na vijana wenzangu na pia aliyekuwa mgombea wetu wa ubunge ni_ contest mwaka huo nikawapa sababu kuwa bado mdogo, ngoja chama kinilee.SASA NIMEKOMAA NA NATANGAZA KUINGIA KTK KINYANG'ANYIRO CHA 'REFRNDUM'MWAKA 2015.

Nimeanza kukijenga chama kwa kukieneza mtaani na kuendesha midahalo vijiweni ambapo mpaka juzi kwa kushirikisha CHADEMA KATA YA MOSHONO TUMEKABIDHI KADI 7 KWA MABALOZI WA CCM MTAA WA SEKEI MORAM!

Kamanda anza mchakato mapema, 2015 siyo mbali
Hongera kwa kukishirikisha chama makini CHADEMA.
Ikiwezekana uwe verified kama sisi tunaotumia ID ambazo ni majina yetu
 
Nimezaliwa ktk kata hii ya moshono yenye rasilimali nyingi hasa mauzo ya moram na kokoto na katu hajapata kutokea diwani aliyejijengea sympathy kwa wapiga kura toka 2kiwa halmashauri ya Arumeru mpaka 2livyohamishiwa jiji. DIWANI aliyepo sasa Mr Paul Mattyssen wa CCM aliyepewa kura za kuaminiwa kama JK MWAKA 2005 haonekani na amekuwa majuto kwa wapiga kura.

Ameahidi kutatua kero za maji hasa kuchimba visima ila iyo kwetu ishakuwa kitendawili.Tokea mwaka 2010 nlishauriwa na wazee na vijana wenzangu na pia aliyekuwa mgombea wetu wa ubunge ni_ contest mwaka huo nikawapa sababu kuwa bado mdogo, ngoja chama kinilee.SASA NIMEKOMAA NA NATANGAZA KUINGIA KTK KINYANG'ANYIRO CHA 'REFRNDUM'MWAKA 2015.

Nimeanza kukijenga chama kwa kukieneza mtaani na kuendesha midahalo vijiweni ambapo mpaka juzi kwa kushirikisha CHADEMA KATA YA MOSHONO TUMEKABIDHI KADI 7 KWA MABALOZI WA CCM MTAA WA SEKEI MORAM!

Jijenge kwa wananchi wenzako Emeka. Hapa tutakushabikia tu. Jipange vizuri especially kwenye habari ya Kusimama vizuri na Mungu wako. Siasa ni mlango mzuri wa adui kushambulia watu. Be wise jombaa.
 
Jijenge kwa wananchi wenzako Emeka. Hapa tutakushabikia tu. Jipange vizuri especially kwenye habari ya Kusimama vizuri na Mungu wako. Siasa ni mlango mzuri wa adui kushambulia watu. Be wise jombaa.

umenena mkuu,nipo vizuri kiimani.
 
Nilitoa ahadi na nimeanza kuitekeleza, nitahamia Arusha CDM wakichukua nchi na preferrence zangu ni kuishi Moshono au Njiro so you may as well becoming my diwani.

Funguka zaidi maana naweza hamia kabla ya 2014 jinsi M4C inavyokwenda
 
Nilitoa ahadi na nimeanza kuitekeleza, nitahamia Arusha CDM wakichukua nchi na preferrence zangu ni kuishi Moshono au Njiro so you may as well becoming my diwani.

Funguka zaidi maana naweza hamia kabla ya 2014 jinsi M4C inavyokwenda

utanitafuta mkuu,mi ni katibu wa cdm moshono.
 
Hongera kamanda vizuri kuwa na nia......muda muhafaka ukifika fuata taratibu za chama,kanuni na katiba ya chama chako
 
Mkuu nakaribia kuhamia Moshono soon nikuongezee nguvu kwani jina la huyo diwani sijawahi lisikia.!!!!
 
Wacha kumhukumu mtu kabla ya wakati wake kuisha. Hakuna hata kata moja Arusha imefanya kitu kwa kipindi cha mwaka moja na nusu tangu wabunge na madiwani kuchaguliwa. Mimi namfahamu diwani Paul wa Moshono,ni mtu hababaiki wala haongeagi uwongo na wala sio mwanasiasa. Huyo ni mtendaji zaidi na alishaanza kushughulikia kero ya maji hapo Sekei na kero ya maji Moshono yote. Mimi ninafanya kazi AWUSA na ninamwona huyu Diwani wa Moshono, haipiti wiki hajafika AWUSA anavyo hangaikia swala la kero ya maji Moshono. Tena alihshatupa eneo kwenye mlima fulani (mali yake) ili pawekwe tank kubwa la maji wakati tutakapoanza shughuli za kuboresha mundombinu wa maji Kata ya Moshono. Watanzania tujifunze kuwa na subira.
 
Hamna cha Paul wala cha nani !! Wote maneno mengi !! Kaka ukishindwa !! Mm nakuja na nguvu ya uma !! Moshono ni kata nnapoishi !! Ni kati ya kata nzuri mno Arusha !! Ila tukibaki na viongozi wa kipumbumbavu tunaiharibu !!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom