Jamani nilipambana magamba kupinga matumizi mabaya ya raslimali za nchi hii sikusikilizwa.,...nikaamia magwanda nikisisitiza msimamo uwe katiba ivunjwe mwaka huu maana nhi inaangamia naambiwa eti nisubiri hadi 2014 sijui. Ninaumia sana nina sikitika sana najuta nitamwambiaje mjukuu wa mjunguu wangu mbele za mungu. Hivyo nimeamua kutoka magwanda rasm na kusaidia nchii hii.
Nakaribisha wanachama ila umoja wetu hauna chama...lengo kubwa kwanza niikomboa nchi yetu cham tutaunda baadae baada ya ukombozi.
Anayetaka kujiunga tuma vika kanisa lolote na msikiti ujitambulishe. Utachukuliwa contacts zako na kutafutwa baaadae baada ya taratibu zote kukamilika.
karibu ndugu vyama hivi vya siasa sio wakombozi wetu tutajikomboa wenyewe.
Nakaribisha wanachama ila umoja wetu hauna chama...lengo kubwa kwanza niikomboa nchi yetu cham tutaunda baadae baada ya ukombozi.
Anayetaka kujiunga tuma vika kanisa lolote na msikiti ujitambulishe. Utachukuliwa contacts zako na kutafutwa baaadae baada ya taratibu zote kukamilika.
karibu ndugu vyama hivi vya siasa sio wakombozi wetu tutajikomboa wenyewe.