Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Nimeshakufungulia moyo wangu...karibu kwangu utulie!
Moyo wako uweke kwangu, ni wewe kwangu wa pekee!
Hehehehe!thx sm my swty darling rejao lol!bila kupoteza muda will u marry me!
Nimeshakufungulia moyo wangu...karibu kwangu utulie!
Moyo wako uweke kwangu, ni wewe kwangu wa pekee!
Lol..tunabanana hapa hapa! Tayari tumeshafikishiana ujumbe, hatuhitaji kuanzisha sredi mpya!!Wafungue tu uzi wao na wenyewe wajinafasi!!!
Rejao na canta mnachakachua sredi ya watu..
Ni haki yako...
lakini unaonaje tukifanya mapinduzi, tuwapige chini namba wani wetu?
Hehehehe!thx sm my swty darling rejao lol!bila kupoteza muda will u marry me!
Wafungue tu uzi wao na wenyewe wajinafasi!!!
Lol..tunabanana hapa hapa! Tayari tumeshafikishiana ujumbe, hatuhitaji kuanzisha sredi mpya!!
Jaman c unaona wenyewe washaingia mitin!achen tuisongeshe tu kesho wataikuta page ya mbele huko!
umeona eh? Wapambe tupo... Tutawapa support ya kutosha.. Maana kufunguka si jambo dogo ati!
yaani hata hujaingia kwenye gari uliloomba lift
ushaanza kupiga honi kwa filimbi??
Ungekuwa uswazi weye, kwenye sherehe ungekuja na mbilimbi, limao, pilipili, na maji ya kunawa!
Rejao, kwa usalama wa gari hili
si-recommend huyu abiria.
hehehe wameenda kumalizia kwenye PM. Maana hapa wameona wabongo hawachelewi kukopi mistari.
Waao..Hehehehe!thx sm my swty darling rejao lol!bila kupoteza muda will u marry me!
Sijui kadada bado kanaogopa?? Au wanabeep tu!
salam zao ce hatuogopi wachawi full kujiachia na rejao wangu lol!
Mwanakwetu,nisaidie kuongea na kongosho hapo naona anataka kutia kauzibe wakati mwenzio nimekufa kwa rejao lol!
salam zao ce hatuogopi wachawi full kujiachia na rejao wangu lol!
Waao..
Are we going for traditional, civil or religious marriage?
Mwanakwetu bana, ce ndo nini?
Swty darling ya kanisan hasa nataka kuwa nawe milele amina lol!
kwa raha zako mwaya!